Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,437
- 176,391
#TeamPasuaKichwa imekamilika....
Khaaaaaah!! Na upole wote huu!!
#TeamPasuaKichwa imekamilika....
Hahaha wadada wa kinyaki tuna upole na utulivu uliotukuka. Hatunaga shida na mtu, yani kila kitu sisi "Ndaga fijo" tu na magoti juu. Waache tu kutuonea jamani![]()
![]()
Hahaha sijui kwa vile ni asili yetu, mara nyingi najikuta tu nishapiga goti mwenyewe. Ila wanyaki nawapenda tu kwa misimamo + kujiamini.Hahahaa afu mie hilo la magoti mwepesi sana,utasema Dada na heshima zake si ndio huyu kumbe mmh....
Hahaha sijui kwa vile ni asili yetu, mara nyingi najikuta tu nishapiga goti mwenyewe. Ila wanyaki nawapenda tu kwa misimamo + kujiamini.
Hivi hujarithi kaubabe flani amazing kidogo maana utasikia "mianamke ya kinyakyusa mibabe hiyo na miili yao". Yani wanataka watuonee afu sie tukae kimyaaaa mmh
Nacheka huku kama mazuri, hapo kwenye sauti naomba tu tufanye duet maana aunt bahati bukuku itabidi astaafu music. Sura ya babu mzaa mjomba kama kawaida na miili yetu ya kibaunsa ninao ingawa siku hizi ni kifidodido, Usisahau na height + ublackHahahaa uwiii nimerithi kwanzia sauti mpaka sura za baba wadogo😂😂😂😂😂mwili tu ndio nilinyimwa,ila na kamwili ningepewa ningekua john cena wa kike
We ni wa kyela au tukuyu???
Hahahaa kaka mito hebu muulize Heaven Sent wadada wa kinyaki wapoje,watulivu tuu hawana shida wala mnatuonea...
Hahaha wadada wa kinyaki tuna upole na utulivu uliotukuka. Hatunaga shida na mtu, yani kila kitu sisi "Ndaga fijo" tu na magoti juu. Waache tu kutuonea jamani![]()
![]()
Teh sie kwetu wapo weupeeee wengi wazuri hadi Unashangaa. Ila dada ako nilivyo cha-black sasa hehe, Mungu huyu. Ntakutumia picha uchague mwenyeweKumbe nyie wanyaki eeh.........basi mwenzenu natafuta mdada mnyaki ila awe mweupe lakini, weupe wa asili siyo mchina teh teh!!
Nacheka huku kama mazuri, hapo kwenye sauti naomba tu tufanye duet maana aunt bahati bukuku itabidi astaafu music. Sura ya babu mzaa mjomba kama kawaida na miili yetu ya kibaunsa ninao ingawa siku hizi ni kifidodido, Usisahau na height + ublack
Me wa Tukuyu dear
Teh sawa ninyime tu fursa hiyoHahaaaa mule mule!! kumbe hata usinijibu hapo juu, nilikuwa sijakusoma loh!!
Teh sawa ninyime tu fursa hiyo
Teh sie kwetu wapo weupeeee wengi wazuri hadi Unashangaa. Ila dada ako nilivyo cha-black sasa hehe, Mungu huyu. Ntakutumia picha uchague mwenyewe
Hahaaaa fursa yako iko njiani usikonde
Nitumie bana hizo picha, i can't wait to see them teh!
Kumbe nyie wanyaki eeh.........basi mwenzenu natafuta mdada mnyaki ila awe mweupe lakini, weupe wa asili siyo mchina teh teh!!
Mi akinipitia tunapitiliza wote! Teh teh teeeh!
Unamtafuta ili akusaidie kuuza dukani??