RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,861
- 129,817
We mwalimu safi sana hivi unafundisha masomo gani....
Wote tunapaswa kufikia stage uliyofikia.
Watu hawajifunzi kutoka kwa makosa ya wenzao.
Wengine wanaogopa kupitia kipindi kifupi cha maumivu kisha kupata thawabu ya muda mrefu.
Experience is the best teacher.
Hongera kwa wote waliokua na kujitambua na wameweza kupata furaha.
Pole kwa walioishia njiani, wakajiua, wakawa walevi, wakawa na maisha ya msongo wa mawazo, na wanaoendelea kuugulia maumivu makumi ya miaka wakisubiri miujiza.
mwalimu yuko smart sana na sio stubborn and arrogant like you......