Kuolewa kwa kulazimisha

Kuolewa kwa kulazimisha

sijui maisha ya brenda na atoto lakini asikudanganye mtu kwamba ukiwa unajiweka mjini mwenyewe utaondoka kwenye uhusiano mgumu kirahisi. Watu wananaswa kwenye mahusiano magumu kwa sababu nyingi hasa za kisaikolojia. Unajikuta unamlewa mtu kaa teja kwa sababu labda za majeraha ya utotoni ambayo hata huyajui, au kwa sababu ya mahusiano mabaya ya wazazi, au kwa sababu umewahi kuwa kwenye uhusiano mbovu zaidi kwa hiyo unauona huo wa afadhali (yaani umezoea shida), au uko kwenye malipizi (karma) - huku kwenye dini yetu wanasema kupatilizwa maovu yako mwenyewe au ya wazazi n.k. Wengine wanajiona wa thamani ndogo (low self esteem) kwa hiyo wanaona sawa kufanyiwa ubaya, tena wanajiona wenye bahati kuwa na wenza husika; wengine hawana malengo kwa hiyo hawaoni shida kukaa kwenye uhusiano miaka hata 10 - wanaendeshwa na matukio tu; wengine wengi wana picha mbaya kuhusu mahusiano - wameshaamini hakuna mahusiano matamu hata akiona couple imeshikana mikono anaamini inaigiza tu ila maisha yao ya ndani ni kama yake n.k.

Daah aisee, haya mambo ya mahusiano ni very complicated kabisa aisee, yaani ni shida tupu. Wakati mwingine najiwaziaga ukiweza kuvumilia basi vumilia tu maisha yaende, ukishindwa kuvumilia basi sepa tu ukaanze maisha upya! manake mahusiano ni pasua kichwa akyanani
 
Hiyo statement kuna mtu ni very funy na anaipendaga kwahiyo nikiikumbuka nachekaga!

Hahahaaaa! Umesahau hata kwa zawadi sitoleki, hadi ndafu iligoma maana mchunguuu, kwahiyo hapo sijui tunafanyaje tena, labda tumpe yule yule na vile viinglishi vyake vya kuunga sijui tutaelewanaaa! Au ngoja nianzie kwa ras simba, thanks! 😉
Aaah taahira wewe. Yani ulivyo reject sijui nani atakubali kupewa wewe as zawadi pyee
 
Duh taratibu usije ukaondoa hadi mashavu dodo bana
Hahaha ngoja tu nikondeane niolewe na mzungu. Maana waafrica wanaogopa ntawaharibia watoto wao na hii sura ya mjomba angu
 
Seme tu hujapata mr right wako, hayo mengine mbwembwe tu

Mi kuchema cha ukweli kuolewa si dili kwa maana ninayoijua ya dili, lakini najua ni jambo zuri hasa ukimpata wa kufanana nae, na maisha ya useja ukiyakubali nayo ni mazuri pia. Mi niko single either kwa kuwa sijapata wa kufanana nae au kwa sababu ya kukosa ujasiri wa kubadilisha maisha kutoka useja kwenda kwenye ndoa. Niligundua ukishazoea useja ni kama kuzoea ndoa. Unawaza ukiolewa hiki kitakuwaje, hiki kitaendaje, hiki nitakiachaje unapata wazo bora kubaki hivyo hivyo. Nikimuwaza "wa kufanana nae" nayo kizungumkuti. Sijui kama yuko hivyo nimsubiri mpaka aje, nikamtafute? sijui anatafutwaje maana formula zote nazozisoma ni ngumu mno maana ni kama natakiwa kubadili mtindo wa maisha, au labda alishakufa kabla hatujaonana, au alishaoa mke wa mtu mwingine au nimeandikiwa kuwa mseja? ..... Nimeona nimsubiri Yesu tu maana kumsubiri wa ubani naweza kuwa nasubiri treni feri! lol
 
Hahaha ngoja tu nikondeane niolewe na mzungu. Maana waafrica wanaogopa ntawaharibia watoto wao na hii sura ya mjomba angu

Hahaaa ushaanza maneno yako ngoja nikimbie zangu siasani nisianze kucheka hapa usiku wote huu, loh!!
 
Hahaaa ushaanza maneno yako ngoja nikimbie zangu siasani nisianze kucheka hapa usiku wote huu, loh!!
Hahaha wewe nenda tu bana, ila me ntasema tu ukweli bana. Hadi muache kunireject, si unaonaga Suala la assessment navyotokaga nduki
 
Mi kuchema cha ukweli kuolewa si dili kwa maana ninayoijua ya dili, lakini najua ni jambo zuri hasa ukimpata wa kufanana nae, na maisha ya useja ukiyakubali nayo ni mazuri pia. Mi niko single either kwa kuwa sijapata wa kufanana nae au kwa sababu ya kukosa ujasiri wa kubadilisha maisha kutoka useja kwenda kwenye ndoa. Niligundua ukishazoea useja ni kama kuzoea ndoa. Unawaza ukiolewa hiki kitakuwaje, hiki kitaendaje, hiki nitakiachaje unapata wazo bora kubaki hivyo hivyo. Nikimuwaza "wa kufanana nae" nayo kizungumkuti. Sijui kama yuko hivyo nimsubiri mpaka aje, nikamtafute? sijui anatafutwaje maana formula zote nazozisoma ni ngumu mno maana ni kama natakiwa kubadili mtindo wa maisha, au labda alishakufa kabla hatujaonana, au alishaoa mke wa mtu mwingine au nimeandikiwa kuwa mseja? ..... Nimeona nimsubiri Yesu tu maana kumsubiri wa ubani naweza kuwa nasubiri treni feri! lol

Mmh aisee, we una maneno mazito kweli kweli....
Ila kupata wa kufanana nae ni changamoto ambayo is there to stay, na ni changamoto kwa both men and women, ingawa wengi wanadhani inawakumba ke peke yao. Huu ndo msingi wa msemo 'wanawake wapo wengi, lakini wa kufaa kuoa (wife material) ni wachache balaa'

Ila ktk wanawake, wale indipendent ndo wanakumbana sana na hii changamoto. Independent wengi (not all) ni too choosy (siwalaumu lakini) for mr. Right

BTW hivi maisha ya useja unaweza kuzeeka nayo? I mean uwe hujaolewa mpaka mwenyezi Mungu atakapoamua siku zako za kuishi duniani uwe hivyo hivyo? sikumbuki kama nilishawahi kumuona bibi ambaye hajawahi kuolewa, am trying to imagine sipati picha kabisa

Hayo mengine ya kuwaza sijui itakuwaje kuhusu life style yako, sitaki kucomment sana huko coz najua unawaza hivyo kwa vile hujampaka mr. right. Akitokea wala hata huwezi kuyafikiria tena believe me or not
 
Hahaha wewe nenda tu bana, ila me ntasema tu ukweli bana. Hadi muache kunireject, si unaonaga Suala la assessment navyotokaga nduki

Hahaaaa Yaani nikikumbuka ishu ya physical assessment nachekaga peke yangu hiyo reaction yako, daaaah!! nakuwa kama vile nakuona unavyowaza, loh!
 
Hahaaaa Yaani nikikumbuka ishu ya physical assessment nachekaga peke yangu hiyo reaction yako, daaaah!! nakuwa kama vile nakuona unavyowaza, loh!
Weeee usifanye utani na kuwa rejected. Unashangaa tu simu umezimiwa na block juu akhuuu
 
Back
Top Bottom