brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,297
- Thread starter
- #181
Kumbe mnajijua kuwa mnawatesa wadada wa watu.
Wala hatuwaendeshi. Kuna lifestyle mwanaume wa kiafrika akiishi ataona anaendeshwa.
Hivi unavyosemaga pasua kichwa una maanisha nini? Ndo nyie aina za wanaume wanataka wanawake wawe kama watumwa.
Sijui unanionaje navyojiweka. I'm actually a very quiet person. In every day life si rahisi kukosoa mtu. Wengine kazi zao, they've to be professional, kwahiyo unamweleza mwanaume kwa upole.
huwezi kwenda kumwambia mwanaume "wewe ni wa hovyo hamna atakayetaka kuolewa na wewe, huyo mwanamke uliyenaye ni mburula ndomana yuko na wewe."
Humu ndo tunawapa vya ukweli.
Wanaume wa kiafrika ndivyo walivyo,hawataki hata ukiwachallenge wanaogopa sana.....hivyo wanataka submissive women,waogopwe ogopwe wasiambiwe wamekosea,wao ndio wajuaji yani ilimradi tu mwanaume....
