Kuolewa kwa kulazimisha

Kuolewa kwa kulazimisha

Si unaona akili zako sasa, unazo za darasani tu kama kaka yangu mito alivyokuambia, ukitoka tu hapo majanga yanaanza, mwambie baba yako akuhamishe uswahilini.
Hahaha my kaka mito ana utani karibu na kweli, yani undugu wangu me na yeye umeshake kusema na ukweli

Afu ule uzi, mbona kama wahusika ni mimi na wewe, my kaka kajitahidi kusema sijui mmoja kaolewa ili tusijishtukie tu. ( hao ndugu zake wawili wa kike ni kina nani zaidi yetu?)
Cha msingi na sekondari, unavaa viatu namba ngapi, zile pair zako 2 tuwe tunabadilishana na hizi zangu angalau wasinotice sana viatu vyetu, my kaka kajua kutujungua
 
Last edited by a moderator:
Hahaha my kaka mito ana utani karibu na kweli, yani undugu wangu me na yeye umeshake kusema na ukweli

Afu ule uzi, mbona kama wahusika ni mimi na wewe, my kaka kajitahidi kusema sijui mmoja kaolewa ili tusijishtukie tu. ( hao ndugu zake wawili wa kike ni kina nani zaidi yetu?)
Cha msingi na sekondari, unavaa viatu namba ngapi, zile pair zako 2 tuwe tunabadilishana na hizi zangu angalau wasinotice sana viatu vyetu, my kaka kajua kutujungua

Hahahaaaa!! Hebu kesho uje tulijadili hili kwa kina ikiwezekana tukazane na mazoezi na miili ilingane na nguo tuwe tunabadili tuonekane tumenunua zingine, ila sasa mie nywele sifugi ng'oooo, na malipusitiki yenu hayo mnitue kwakweli.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa!! Hebu kesho uje tulijadili hili kwa kina ikiwezekana tukazane na mazoezi na miili ilingane na nguo tuwe tunabadili tuonekane tumenunua zingine, ila sasa mie nywele sifugi ng'oooo, na malipusitiki yenu hayo mnitue kwakweli.
Eeeh Shosti nywele kipilipili kama kawaida, naturalista sieee. Naomba na nguo tuvaliane mwee, sema nilivyonyorodoka mwili sasa hivi, ngoja nianze kufukia menu. Ila my kaka ana vichambo, eti mtu hajafika ila unajua kabisa atakuja na nguo fulani na vile viatu vyake vya kila siku. Nimekomaaa
 
Eeeh Shosti nywele kipilipili kama kawaida, naturalista sieee. Naomba na nguo tuvaliane mwee, sema nilivyonyorodoka mwili sasa hivi, ngoja nianze kufukia menu. Ila my kaka ana vichambo, eti mtu hajafika ila unajua kabisa atakuja na nguo fulani na vile viatu vyake vya kila siku. Nimekomaaa

Kaka tu hatuna kwakweli, ni kwa vile tu ni ndugu lasivyo ningemuacha!
 
Last edited by a moderator:
Douta huyo ex mama asije kukuambukiza kupenda pesa huko chemba...Btw atoto haunipi cha kufungia mwaka?..Hii ni nje ya mkataba

Hahahaaaa! Kumbe unanimiss eeeh? Hata mimi nimekumiss, njoo tufunge mwaka ex darling wangu eeeh.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa! Kumbe unanimiss eeeh? Hata mimi nimekumiss, njoo tufunge mwaka ex darling wangu eeeh.
Teh teh..Ni jeuri tu..Ila nakumiss..Ntakuja aisee..Nataka kuja kuweka kumbukumbu ambayo hautakuja kuisahau
 
Teh teh..Ni jeuri tu..Ila nakumiss..Ntakuja aisee..Nataka kuja kuweka kumbukumbu ambayo hautakuja kuisahau

Sasa ujeuri wa nini wakati mioyo yenyewe inavutana? Sasa kumbukumbu gani tena hiyo au unataka nijihamishe mwenzio? Usinifanyie hivyo tafadhali!!
 
Back
Top Bottom