Kuolewa kwa kulazimisha

Kuolewa kwa kulazimisha

kama hunifahamu mbona unabishia profeshen yangu? Au walimu tunachukuliaje?
Umeenda mbali NANDERA, sina maana yoyote mbaya juu ya fani ya mtu. Nilikuwa nafanya utani kuwa yawezekana wala we sio mwalimu, japo unajitananabaisha kuwa mwalimu..
 
Last edited by a moderator:
mimi pia ni mmoja wa walioa kwa stail hiyo, data base yangu ilikuwa na vimwana watano(5) huyu niliyenaye aliniganda kweli kweli,wenzie walijidai wanaleta pozi mpk leo tuna watoto wawili na life linasonga mbele,hakuna mikwaruzano wala nini
 
Umeenda mbali NANDERA, sina maana yoyote mbaya juu ya fani ya mtu. Nilikuwa nafanya utani kuwa yawezekana wala we sio mwalimu, japo unajitananabaisha kuwa mwalimu..
Ahaa.... ulivyosema inawezekana mimi si mwalimu nikajua umedharau taaluma yangu maana taaluma hii humu ndani haiheshimiki kabisa. Pale pa ..kujua pale nikasema yeeeeto!
 
Ahaa.... ulivyosema inawezekana mimi si mwalimu nikajua umedharau taaluma yangu maana taaluma hii humu ndani haiheshimiki kabisa. Pale pa ..kujua pale nikasema yeeeeto!
...teh teh..ukasema yeeeto! Hakuna ubaya katika hilo, tena hutakaa ujute..hahahaaa!
 
Hapana, sikufahamu. Lakini unanivutia nikufahamu..teh. Hata kukujua kabisa

Mmmmh!! I can read bt lines, hata ubishie ukweli ila ulichokimaanisha kimeonekana dhahiri.
 
Unajua kabisaaaaaa sikumaanisha wivu, usipindishe mada hapa!!
Hakuna bwana, ukifikiri vile utakuwa umeathirika tu, sijawahi kuwaza hivyo ujuwe... naheshimu kazi na chaguzi za watu...hasa yako kipenzi wa zamani..teh!
 
Hakuna bwana, ukifikiri vile utakuwa umeathirika tu, sijawahi kuwaza hivyo ujuwe... naheshimu kazi na chaguzi za watu...hasa yako kipenzi wa zamani..teh!

Si unajuaga kabisa sidanganyikagi? Haya hela yangu iko wapi?
 
Si unaona sasa matatizo yako, na akili zooote hizo my doughter haujang'amua tu? Alafu mwambie baba yako nimemmiss.
Teh nimemuelewa vizuri brod darlin
Stay away from my papa, unadhani atakuhonga hela ya sikukuu.
Asante sisy darling kwa kuliona hilo. Hana wivu lakini anatamani nile vitamu, najitolea kwa kazi hiyo..teh!!
Teh teh me sisemi kitu ujue
 
Summary:
Si kila mahusiano huzaa ndoa.
 
Back
Top Bottom