Kuolewa kuna raha zake!


...si nasikia baada ya pingu ya maisha makucha yanatoka, ama?
 
Eiyer true sumu haipimwi kwa kuonja. And ndoa moja ambayo umeiona ina mgogoro sio kipimo cha kusema kuwa ndoa zote zina mgogoro. Ndoa ni wewe utaitengeneza na ukiamua kuwa ndoa yangu iwe hivi au vile itakuwa the way unavyotaka. Maisha sio kuiga au ndoa si kuiga fulani anafanya nini. Ishi kwenye ndoa the way unavyotaka.e
 
<br />
<br />
I dont wanna be miserable and i dont wanna die either!
 
Mbu not true. Kama umekaa na mchumba muda mrefu na umemsoma na kumuelewa mpaka ukakubali kuwa huyu ndiye atakayekuwa mwandani wangu na niko tayari kukaa nae for the rest of your life, atatoa makucha yapi ambayo hukuyaona muda wote wa uchumba?
Hayo ni maneno ya watu wanaokatisha tamaa kuwa mkishafunga ndoa tuu anatoa makucha yake aliyoficha. Yapi hayo ambayo kwa muda wote hukuyaona.
 
<br />
<br />
Simple like that eeeh! I dont think so!!
 
We Eiyer hayo maisha ya ndoa uliishi wapi mpaka utuambie kuwa ni ya ajabu na hutaki kuyaingia
 
So Eiyer do you think ndoa ni lidubwasha likubwa do complicated, hard and lots of trouble. Ni ndoa ya nani unaichuklia mfano. Na nini kimeifanya hiyo ndoa ifikie hapo. Je wahusika walikuwa wanapendana walipooana
Je mapenzi yao yalikuwa real au waliingia kwenye ndoa kutokana na forces behind their back
Je uaminifu wao kwa kila mmoja ukoje
Je wanasuluhisha vipi mambo yao wakigombana
Na je ni nini vigezo vyako vya ndoa bora
 
<br />
<br />
Hakuna ndoa iliyo salama!4 your imfomation wanandoa ndo walioko kwenye hatari kubwa ya kupata maradhi kama ukimwi na maradhi yanayosababishwa na mihemko kama vile BP n.k!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
we are here ma dea!and we are proud 2 be married.its better as we got someone who we can call ours!
 
Who told u kuwa hakuna ndoa salama. Huo utafiti wako umeufanya kwenye ndoa zipi na wapi na ulichukua sample zako kwa kulinganisha na nini?
Na hizo tafiti za walio na hatari ya kupata bp na ukimwi ulichukulia wapi
Na uliowahoji wote walikiri ni sababu ya ndoa zao kuwa mbaya
 
We Eiyer hayo maisha ya ndoa uliishi wapi mpaka utuambie kuwa ni ya ajabu na hutaki kuyaingia
<br />
<br />
Do u think kila alieiona mechi ya mpira ameingia uwanjani?Anaweza kuwa ameiona kwenye luninga bana!
 
Yeah sio kila aliyeona mpira ameingia uwanjani. Ila suala la ndoa sio la kuzungumzia as if unazungumzia mpira. Njoo na concrate data za kuthibitisha maneno yako. Ukisema hakuna ndoa salama njoo na data utuambie miongoni mwa ndoa mia zilizofungwa mwaka huu ndoa kadhaa zimevunjika, ndoa kadhaa wanaume au wanawake kwenye hizo ndoa wanacheat, ndoa kadhaa waume au wanawake kadhaa wana ngeu kutokana na kipigo, ndoa kadhaa ziko mahakamani au makanisani na misikitini sikisubiri kusuluhishwa, ndoa kadhaa wanandoa wanalala mzungu wa nne
 
<br />
<br />
Rocky,Rocky wake up!As long as jambo lolote linahusisha kiumbe anaeitwa mwanadam nothing safe there!Unless huwajui hawa viumbe!
 
I know na nawajua sana. Ila hapa tunazungumzia taasisi inayoitwa ndoa na sio bla bla za wachumba na gal and boy friend kaka
I knon nothing safe there ila we don like to fall into trap of generalization of something like marriage. Yeah zipo ndoa ambazo kila siku watu wanaombea kwa nini zisivunjike ila ziko ndoa ambazo ziko salama na wenye ndoa wanaishi maisha ambayo Mungu aliwapanmgia waishi. Japo hatuwezi kujua what is happening inside their rooms ila nje mbele ya jamii na familia zao wanaonyesha kuwa they are happy. Sipingi kuwa ndoa nyingi kuna matatizo ila sio sahihi kusema kuwa hakuna ndoa safe hata mojai
 
<br />
<br />
Well well,katika ndoa 500,000 zilizofungwa katika jiji la J'burg mwaka 2008 ndoa 400,000 hazikufika mwaka 2010!!Chanzo;jarida la DRUM!!U need more??
 
Wangapi wameleta thread humu wametendwa na maboy/girlfriends zao??? Kwa nini mshangae hayo yakitokea kwenye ndoa. Nawahurumia kwani mkija shtuka will then be too late. Ndio mnaanza kutafuta wachumba kwenye mitandao!
<br />
<br />
Hakuna ndoa iliyo salama!4 your imfomation wanandoa ndo walioko kwenye hatari kubwa ya kupata maradhi kama ukimwi na maradhi yanayosababishwa na mihemko kama vile BP n.k!
 
Afu kuna kitu wana overlook. Wengi wa walioachana wanaolewa/oa tena; ask yourself why.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…