BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
preta ndani ya jacuzi...utamtaka
preta ndani ya jacuzi...utamtaka
Unafanya mapenzi na mwenza wako zaidi ya mara nne hadi tano ili iweje?
Hivi kuna walio katika ndoa wanaofanya mapenzi zaidi ya mara nne kwa usiku?
Usafi kwenye sex ni kitu muhimu sana, ni vizuri kuoga kila wakati mmeisha fanya sex.
mi sijui kwa nini maswali yanakuwa mengi sana kuliko vitendo.....
Shem hapa kitendo ni kipi ? Kuoga ? Au
kujigijigi ?
preta ndani ya jacuzi...utamtaka
hahaha preta bana hata nawa basi maana kusaipopita maji game zingine hazinogii etii....shem....mimi nikioga huwa naisha....aku....ya nini mie.....
nshasema.....siogi.....
shem....mimi nikioga huwa naisha....aku....ya nini mie.....
nshasema.....siogi.....
hahaha preta bana hata nawa basi maana kusaipopita maji game zingine hazinogii etii....
hahaha preta bana hata nawa basi maana kusaipopita maji game zingine hazinogii etii....
Pwent! Nakupa mapointi mlima !
Unafanya mapenzi na mwenza wako zaidi ya mara nne hadi tano ili iweje?
Hivi kuna walio katika ndoa wanaofanya mapenzi zaidi ya mara nne kwa usiku?
Navyo amini kuna watu wanakula vyakula vyenye faida, usione mtu anakula kuku mzima ukasema ana nguvu kuliko anaye kula njiwa haswa kwenye mambo ya sex...kumbuka ukila njiwa hukosi kuruka :bounce:Ama kuna watu wana nguvu, malengo ya kukurukakara usiku mzima ni nini? Kwani hamna kesho na keshokutwa?
tehe teh teheeeee...............we preta!!!
Wasiyeoga baada ya kujamiiana ndio wale wanaokumbwa na popobawa!