Cute Msangi
Member
- Apr 11, 2023
- 79
- 221
Kuoa na kuolewa ni Jambo nzuri na la kheri Katika dini zetu na Jamii inayotuzunguka.
Kwa mwanamke ndoa ni heshima Ila ukiolewa tu ushawishi unapungua Katika Jamii yako mfano ukiwa mwimbaji,muigizaji,models nk ukishaingia kwenye Ndoa ule ushawishi wa kufanya kitu unachokipenda unapungua muda mwingi upo na familia.
Diamond platnumz ni msanii mkubwa na ni mfano wa kuigwa kwa vijana wengi,Leo diamond akioa tu niamini Mimi status yake au ushawishi wake lazime upungue kwa vijana.
Kwa mwanamke ndoa ni heshima Ila ukiolewa tu ushawishi unapungua Katika Jamii yako mfano ukiwa mwimbaji,muigizaji,models nk ukishaingia kwenye Ndoa ule ushawishi wa kufanya kitu unachokipenda unapungua muda mwingi upo na familia.
Diamond platnumz ni msanii mkubwa na ni mfano wa kuigwa kwa vijana wengi,Leo diamond akioa tu niamini Mimi status yake au ushawishi wake lazime upungue kwa vijana.