Kuoa au Kuolewa Kilimanjaro ni ticket ya mafanikio

Kuoa au Kuolewa Kilimanjaro ni ticket ya mafanikio

Mangi Mlay

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2016
Posts
5,743
Reaction score
7,087
Katika nchi yetu hii nzuri Tanzania yenye fursa lukuki, huku tukiwa na usimamizi imara wa CCM chini ya Samia. Inapasa mtu kujua jambo moja tu ili maisha yako yawe na mafanikio.
Kama hautokei Kilimanjaro hakikisha unaoa au unaolewa na mtu wa Kilimanjaro.
Hakuna watu waliojaliwa vision wanaoweza kubadili kila hali kuwa fursa kama hao.
Leo hii viongozi wengi waliopo na waliopita kama hajao Kilimanjaro basi ameolewa Kilimanjaro.
Watu wengine wanakuwa na pesa lakini hawana mafanikio hawaishi kama inavyopaswa ila kwa mwenye mtu wa Kilimanjaro maisha yake ni baraka.
 
Katika nchi yetu hii nzuri Tanzania yenye fursa lukuki, huku tukiwa na usimamizi imara wa CCM chini ya Samia. Inapasa mtu kujua jambo moja tu ili maisha yako yawe na mafanikio.
Kama hautokei Kilimanjaro hakikisha unaoa au unaolewa na mtu wa Kilimanjaro.
Hakuna watu waliojaliwa vision wanaoweza kubadili kila hali kuwa fursa kama hao.
Leo hii viongozi wengi waliopo na waliopita kama hajao Kilimanjaro basi ameolewa Kilimanjaro.
Watu wengine wanakuwa na pesa lakini hawana mafanikio hawaishi kama inavyopaswa ila kwa mwenye mtu wa Kilimanjaro maisha yake ni baraka.
Unachotaka kumanisha kwamba kilimanjaro hamna walio furia ? Wote wanajiweza
 
Wana akili kubwa au unjanja unjanja na wizi, wengi hapa dar wanamaliza maisha vibaya kwasababu ya pesa za dhuluma, tuna changia maiti zao kusafirishwa moshi kila ukicha.
Wakati wao wanaenda kuzikwa kwa heshima Moshi nyie mnachimbiwa huko kwenye kona kona za jiji
 
Katika nchi yetu hii nzuri Tanzania yenye fursa lukuki, huku tukiwa na usimamizi imara wa CCM chini ya Samia. Inapasa mtu kujua jambo moja tu ili maisha yako yawe na mafanikio.
Kama hautokei Kilimanjaro hakikisha unaoa au unaolewa na mtu wa Kilimanjaro.
Hakuna watu waliojaliwa vision wanaoweza kubadili kila hali kuwa fursa kama hao.
Leo hii viongozi wengi waliopo na waliopita kama hajao Kilimanjaro basi ameolewa Kilimanjaro.
Watu wengine wanakuwa na pesa lakini hawana mafanikio hawaishi kama inavyopaswa ila kwa mwenye mtu wa Kilimanjaro maisha yake ni baraka.
Kama ni mwanaume, ukishafanikiwa jiandae kuuwawa..!!
 
Katika nchi yetu hii nzuri Tanzania yenye fursa lukuki, huku tukiwa na usimamizi imara wa CCM chini ya Samia. Inapasa mtu kujua jambo moja tu ili maisha yako yawe na mafanikio.
Kama hautokei Kilimanjaro hakikisha unaoa au unaolewa na mtu wa Kilimanjaro.
Hakuna watu waliojaliwa vision wanaoweza kubadili kila hali kuwa fursa kama hao.
Leo hii viongozi wengi waliopo na waliopita kama hajao Kilimanjaro basi ameolewa Kilimanjaro.
Watu wengine wanakuwa na pesa lakini hawana mafanikio hawaishi kama inavyopaswa ila kwa mwenye mtu wa Kilimanjaro maisha yake ni baraka.
Ukioa Kilimanjaro unajipa ticket ya kufa ww mwenyew kati ya watu 10 wa Kilimanjaro waliooa wakilimanjaro ni 2 tu ipo wazi wanawake wa kichaga ni hatari ukijipata tu unakuwaisha mbele za haki tembelea nyumba nyingi utakuta wamama tu
 
Ukioa Kilimanjaro unajipa ticket ya kufa ww mwenyew kati ya watu 10 wa Kilimanjaro waliooa wakilimanjaro ni 2 tu ipo wazi wanawake wa kichaga ni hatari ukijipata tu unakuwaisha mbele za haki tembelea nyumba nyingi utakuta wamama tu
Dunia nzima wanaume hutangulia kufariki, sababu kwanza umri unakuwa mkubwa kuliko mwanamke. Ila kwa ninyi mnaooa mabibi wao wanatangulia
 
90% ya Vingozi wameoa Kilimanjaro wachache bila kujali ukubwa na umuhimu ni
Mkapa, Sumaye, Malecela, Aweso, Mwigulu, Msekwa, Kibajaji, Ndugai, Mwinyi hao ni wachache tu
 
Sio kila mtu lazima awe na pesa ,pesa sio kitu cha asili ...Kikubwa kuishi kwa furaha ,wengi hao jamaa hawatoboi miaka 60.
Yeah mnaanzisha mabiashara makubwa,mnajenga magorofa halafu baada ya hapo unakufa anabaki peke yake au analeta mwanamme mwingine wa kumstarehesha ndani ya ghorofa lako.
Ni heri kubaki maskini tu ila uishi kwa amani.
 
Back
Top Bottom