Mila hizo.kabila lolote lile ukimtongoza mdogo mtu kama ana dada hajaolewa lazima akuambie tusubirie dada aolewe.. anadai hawezi kuolewa kabla ya dada
Mwanzo 29 : 26 Sikukutumikia kwa Raheli? Mbona umenidanganya? Labani akasema, Havitendeki hivi kwetu, kumtoa mdogo kabla ya mkubwa;Hii naisikia leo,muda huu
Siwezi kuhalalisha kitu Bible imekataa,hapa ndo tunaenda sawa sasa,, je vibaya au sio vibaya
Sinauna dada?/