Remen Robert
Member
- Jun 4, 2017
- 18
- 8
Mwanamke unayemkuna vilivyo ukimgusa tu,lazima uone response. She cannot resist to have you inside her papuch... Tatizo lenu wengi mnachezea first Chance! Ambayo ndio CV!
Tena wapo wanaopenda mpk wanapitiliza mpk wewe mwanaume hutaki unamkwepaIna maana hakuna ke wanaofanya tendo kila siku??
Mpaka mwanamke akakunyima tendo la ndoa lazima kuna sababu nyuma yake. Kwanza yawezekana humridhishi ndio maana tendo anaona kama unamboa tuu. Pili yawezekana kuna kitu au vitu umemfanyia ambavyo vipo moyoni mpaka mapenzi yamepungua hadi tendo la ndoa asione umuhimu wake kwa hiyo kaa nae muongee kwa kina lazima atakupa sababu ya kukunyima. Mwisho kabisa kama ni mpenzi au mwanamke tuu unaishi naye ana haki ya kukunyima sababu hujamuoa acha zinaa kama unampenda funga nae ndoa muwe na uhalali wa tendo hiloHii mada inawahusu wale waliooa au wanaish na wachumba zao au wanaishi na mpenz wake au anaish na mwanamke tu... Je ni halali kwa mwanamke kubana tendo la ndoa..? Bila sababu na barid hii kali na mvua inanyesha kali sana....? Mwanamke kubana tutoa papuch...? Kwa kwel swala hili linakera sana.. sanaaa.. nilitaman kumpiga shoti ya umeme kwenye mapaja angalau mapaja yalegee sema malaika wa bwana akanishaur nisifanye hivyo... ninyi wanawake Kwann mnafanya hivyo... . Mimi kama Prof ninasikitishwa na hali hii.....
Kama hutoi matumizi ni lazima unyimwe tu.Au kama unataka kama ugomvi ni lazima unyimwe tu.Mwisho chunguza huenda ana mwingine ndiko anakomalizia haja zake, au vile vile hauko kwenye akili yake kwa maana hakupendi.Hii mada inawahusu wale waliooa au wanaish na wachumba zao au wanaishi na mpenz wake au anaish na mwanamke tu... Je ni halali kwa mwanamke kubana tendo la ndoa..? Bila sababu na barid hii kali na mvua inanyesha kali sana....? Mwanamke kubana tutoa papuch...? Kwa kwel swala hili linakera sana.. sanaaa.. nilitaman kumpiga shoti ya umeme kwenye mapaja angalau mapaja yalegee sema malaika wa bwana akanishaur nisifanye hivyo... ninyi wanawake Kwann mnafanya hivyo... . Mimi kama Prof ninasikitishwa na hali hii.....
Sasa prof kama mimi nishindwe kutoa PESA ya matumiz kweliKama hutoi matumizi ni lazima unyimwe tu.Au kama unataka kama ugomvi ni lazima unyimwe tu.Mwisho chunguza huenda ana mwingine ndiko anakomalizia haja zake, au vile vile hauko kwenye akili yake kwa maana hakupendi.
Hii mada inawahusu wale waliooa au wanaish na wachumba zao au wanaishi na mpenz wake au anaish na mwanamke tu... Je ni halali kwa mwanamke kubana tendo la ndoa..? Bila sababu na barid hii kali na mvua inanyesha kali sana....? Mwanamke kubana tutoa papuch...? Kwa kwel swala hili linakera sana.. sanaaa.. nilitaman kumpiga shoti ya umeme kwenye mapaja angalau mapaja yalegee sema malaika wa bwana akanishaur nisifanye hivyo... ninyi wanawake Kwann mnafanya hivyo... . Mimi kama Prof ninasikitishwa na hali hii.....
Ndio maana mnashauriwa muwe nao wanne, ukiona mmoja hajiwezi unahama kambi...hamna haja ya kugombana.
Hata utelezi utatokea wapi k haiwi tamu wala nini
Majimaji ya ukeniUtelezi ndiyo nini kapeace? 😡😡😡
Yeees hivyohivyo
Tunakubali, je siku wewe ukiwa na hamu mwenzako naye akafanya hivyo mtaaelewa? Au ndio yataanza madharau na kupondana?!Hisia za mwanamke zipo very complicated hamjui tu hakuna ke ambae ana genye na ww ni mtu wake akakunyima penzi
Kwa asili sisi hatuwezi shiriki tendo karibu kila siku km nyie sasa akikwambia hataki nawaombeni muwe mnaelewa tumia muda mrefu kumuandaa kiakili kimwili na hatimaye hisia zitampanda atakubali kuachia
Tatizo lenu nyie wengi wenu ikisimama tu hapohapo unataka kupanda jamani jamani jamani na sie kwa hofu ili tusionekane tumekunyima ndo hivyo tunawakubalia lkn kiuhalisia mnakuwa mmetubaka hii hali ya kufanya tendo hivyo inakata hisia na mudi sana mtuelewe jamani tumeumbwa tofauti na nyie
Pitia page zote utapata majibuTunakubali, je siku wewe ukiwa na hamu mwenzako naye akafanya hivyo mtaaelewa? Au ndio yataanza madharau na kupondana?!