jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,362
Mtu unaye ndani unammiliki wewe mwenyewe, una miashki kibao, kujiandaa ili ushughulikiwe huku miguno ya utukufu ya ndoa ukihanikiza kuta mne, wewe unajiwekea formula ya jinsi gani uandaliwe.Sawa kwa kauli hizi wacha tuwakubalie muendelee kutubaka tu tatizo katika ubakaji huo asilimia za upendo zinaporomoka mpk kufikia zero na hapo Ndio naxsisi tatatafuta romantic guy wa kutupunguzia ashki huku wewe unapewa ya kibakaji kwa msela anapata natural mtelezo
Mnadhihirisha kuwa huwa mnafanya makusudi! Msela mbona hamumnunii na kumwambia "sijisikii"
Ina maana huwa mmejiandaa kwa msela.
Wanawake badilikeni, jiandaeni in advance kubinuka binuka kuwe kwiiiiiingi.
Msifikiri kuwa abdalah kichwa wazi hapendi hamasa.