Mallaba
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 2,554
- 47
Salaam wana JF,
Napenda kuuliza hili sawali ambalo linaweza kuwa dogo sana kwa wengine lakini naamini ni kubwa sana kwangu kwa sababu sina utaalamu na mambo ya hisa.
Nataka kuuliza je unaponunua hisa mfano kutoka kampuni lolote..je una kuwa unapata faida kivipi?
Sina uelewa wowote wa kumiliki hisa zaidi ya kujua ya kwamba unakuwa mmiliki wa kampuni kupitia hisa,sielewi nitafaidika vp katika hilo
Mnaweza kunisaidia hata kama kuna taarifa zingiine kuhusiana na hisa wana JF
Shukrani
Napenda kuuliza hili sawali ambalo linaweza kuwa dogo sana kwa wengine lakini naamini ni kubwa sana kwangu kwa sababu sina utaalamu na mambo ya hisa.
Nataka kuuliza je unaponunua hisa mfano kutoka kampuni lolote..je una kuwa unapata faida kivipi?
Sina uelewa wowote wa kumiliki hisa zaidi ya kujua ya kwamba unakuwa mmiliki wa kampuni kupitia hisa,sielewi nitafaidika vp katika hilo
Mnaweza kunisaidia hata kama kuna taarifa zingiine kuhusiana na hisa wana JF
Shukrani