Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,315
- 33,111
Wanawake wanaojihusisha na kazi ya kucheza uchi kutoka kundi maarufu la Welawela lenye makazi yake Mwananyamala jijini Dar es Salaam (wenye fulana nyeupe na kofia) wakipewa maelekezo na mtangazaji wa kituo cha Luninga na Redio cha East Africa, Maimartha Jesse kabla ya kucheza katika onesho la taarabu lililofanyika ndani ya Hoteli ya Travertine jana.
KUKATWA MGUU SIYO MWISHO WA KUSAKATA MSONDO!
Shabiki huyu wa Msondo Music Band licha ya kukatwa mguu mmoja lakini usiku wa kuamkia leo alinaswa na kamera yetu ndani ya ukumbi wa Africentre akiyarudi mangoma kama hana akili nzuri.