Kundi la mapedeshee watatu waliotamba enzi za Kikwete!

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,284
21,403
("Wapi kizaizai")("wapi mpakanjia ")(" wapi George Mayenga")
=============
Wanamziki na wasanii mbalimbali hawakuacha kutamka maneno hayo!
Maneno hayo ni majina ya matajili marafiki watatu waliokuwa wanapenda sifa kupindukia!
Katika hao watatu, sijawahi kuona mtu aliyekuwa anapenda sifa kama KIZAIZAI....
Kwanza huyu jamaa miaka yote hakuwahi kumaliza ujenzi Wa nyumba yake zaidi ya kujenga na kubomoa halafu anajenga tena! (Ili Mradi tu aonyeshe anazo)
Huyu jamaa alikuwa akiona nyumba nzuri mtandaoni akiipenda basi anabomoa ya zaman,
KIZAIZAI alikuwa akijenga nyumba hadi inakamilika halafu anaibomoa na kujenga tena. (Na Fundi aliyejitia kiherehere cha kumshauri kwamba wasivunje alijibiwa nafanya hivi ili nyinyi mpate kura! Nawalipa Pesa ya kujenga na kubomoa na kujenga tena)

KIZAIZAI Aliwahi kujaribu kubadilisha jina la mtaa mzima uitwe jina lake (KIZAIZAI STREET)
Aliagiza order ya ndoo za rangi toka kiwandani zipakwe kila nyumba mtaa mzima, Kwa madai kwamba mtaa mzima ufanane na hadhi yake kutokana na wageni wanaomtembelea, pia aliweza kupendekeza mtaa mzima upandwe miti mirefu miashoki!
KIZAIZAI hakupenda kukaa na gari aina moja Kwa siku tatu anabadilisha!
KIZAIZAI alikuwa akigawa fedha hususa bandi na wanamziki walipompaisha! Na wale wote walioshangilia walipata fedha!
KIZAIZAI Alipatwa hadi kuimbwa na Diamond katika wimbo wake Wa "kizaizai"
KIZAIZAI sasa kamaliza UJENZI Wa Nyumba yake awamu hii na hataki kubomoa tena!!

IMG_20170427_161815.jpg
 
Last edited:
("Wapi kizaizai")("wapi mpakanjia ")(" wapi George Mayenga")
=============
Wanamziki na wasanii mbalimbali hawakuacha kutamka maneno hayo!
Maneno hayo ni majina ya matajili marafiki watatu waliokuwa wanapenda sifa kupindukia!
Katika hao watatu, sijawahi kuona mtu aliyekuwa anapenda sifa kama KIZAIZAI....
Kwanza huyu jamaa miaka yote hakuwahi kumaliza ujenzi Wa nyumba yake zaidi ya kujenga na kubomoa halafu anajenga tena! (Ili Mradi tu aonyeshe anazo)
KIZAIZAI alikuwa akijenga nyumba hadi inakamilika halafu anaibomoa na kujenga tena. (Na Fundi aliyejitia kiherehere cha kumshauri kwamba wasivunje alijibiwa nafanya hivi ili nyinyi mpate kura! Nawalipa Pesa ya kujenga na kubomoa na kujenga tena)

KIZAIZAI Aliwahi kujaribu kubadilisha jina la mtaa mzima uitwe jina lake (KIZAIZAI STREET)
Aliagiza order ya ndoo za rangi toka kiwandani zipakwe kila nyumba mtaa mzima, Kwa madai kwamba mtaa mzima ufanane na hadhi yake kutokana na wageni wanaomtembelea, pia aliweza kupendekeza mtaa mzima upandwe miti mirefu miashoki!
KIZAIZAI hakupenda kukaa na gari aina moja Kwa siku tatu anabadilisha!
KIZAIZAI alikuwa akigawa fedha hususa bandi na wanamziki walipompaisha! Na wale wote walioshangilia walipata fedha!
KIZAIZAI Alipatwa hadi kuimbwa na Diamond katika wimbo wake Wa "kizaizai"
KIZAIZAI sasa kamaliza UJENZI Wa Nyumba yake awamu hii na hataki kubomoa tena!!
View attachment 645110
Papaa Ndama na cAlex Msasawe wako wapi!
 
Back
Top Bottom