Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
Nyerere alikuwa dhaifu sana kilichokuwa kinambeba ni ubabe wake tu, soon watu watatambua kuwa mawazo yake mengi yalilipotezea taifa mwelekeo.
You are right ,Mwalimu alikuwa sahihi. Wakati ule usingeweza kuzomoka kwa kutumia Bunge kuleta Serikali tatu. Mwalimu alichosema ni kwa CCM na Serikali yake kufuata procedures tu. Hakugoma kuwa na Serikali tatu ingawa alipendelea mbili. Angalia leo, Watanzania wameulizwa, wametoa msimamo. Wengi wametaka serikaloi tatu. Mwalimu alitaka utaratibu ufuatwe. Hicho ndicho kilichokuwa tofauti ya mwalimu na haya ya leo. Kina Njelu walitaka kuburuza tu na kuanzisha Serikali tatu bila kupata maoni ya wanaCCM na Watanzania kwa jumla.
nyerere alikuwa dhaifu sana kilichokuwa kinambeba ni ubabe wake tu, soon watu watatambua kuwa mawazo yake mengi yalilipotezea taifa mwelekeo.
.Mwalimu alikuwa sahihi. Wakati ule usingeweza kuzomoka kwa kutumia Bunge kuleta Serikali tatu. Mwalimu alichosema ni kwa CCM na Serikali yake kufuata procedures tu. Hakugoma kuwa na Serikali tatu ingawa alipendelea mbili. Angalia leo, Watanzania wameulizwa, wametoa msimamo. Wengi wametaka serikaloi tatu. Mwalimu alitaka utaratibu ufuatwe. Hicho ndicho kilichokuwa tofauti ya mwalimu na haya ya leo. Kina Njelu walitaka kuburuza tu na kuanzisha Serikali tatu bila kupata maoni ya wanaCCM na Watanzania kwa jumla.
Subiri wenye orodha kamili watakusaidia.Binafsi siwakumbuki wote.Je unaweza kuleta odrodha ya hao G55
Je unaweza kuleta odrodha ya hao G55
Nyerere alikuwa dhaifu sana kilichokuwa kinambeba ni ubabe wake tu, soon watu watatambua kuwa mawazo yake mengi yalilipotezea taifa mwelekeo.
Tume ya Katiba;6499554 kutomuunga mkono mchungaji au padre mnafiki, mpika majungu, mfitini, anaendesha kanisa kwa maono ya hawara yake, mkabila, ndumilakuwili haimanishi kwamba nimelihasi kanisa-mwampamba
Tatizo la kundi la G55 lilikuwa ni mixed bag. kuna wengine walikuwa na malengo hasa ya kutatua tatizo lilikuwa linasumbua muungano lakini kuna wengine pia walikuwa wanataka madaraka kwa nguvu zao zote.jamaa waliona mbali sana...
Cha muhimu zaidi ni kwamba Kikwete alikuwemo.
Nyerere alikuwa dhaifu sana kilichokuwa kinambeba ni ubabe wake tu, soon watu watatambua kuwa mawazo yake mengi yalilipotezea taifa mwelekeo.
Mhh!Ukisoma UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA utaona hoja ya Mwalimu. Bunge halina mamlaka makubwa ya kubadili muundo wa Serikali ya Muunganol bila kuwashirikisha wananchi wengi.
Je unaweza kuleta odrodha ya hao G55