I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,731
- 10,033
Kundi la al-Shabab mwaka 2021 lilitumia TZS bilioni 55.5 kununua silaha, Taasisi ya Hiraal imeeleza. Ripoti imefafanua kuwa kundi hilo lenya mfungamano na al-Qaeda lina mapato ya TZS bilioni 416.5 kwa mwaka, linayokusanya pia kupitia kodi katika maeneo ya Somalia inayoyakalia.
Swali: Ni nani yupo nyuma ya haya makundi ya kigaidi kiufadhili?
Swali: Ni nani yupo nyuma ya haya makundi ya kigaidi kiufadhili?