Kunatokota sana huku mtaani

Kunatokota sana huku mtaani

kwenye fujo zenu mmemuona tajiri ata mmoja? maaan yake umaskini unawasumbua mnakaribia kua wachawi
kwenye fujo zenu mmemuona tajiri ata mmoja? maaan yake umaskini unawasumbua mnakaribia kua wachawi
Usilie tarehe 9 ni mwendo wa kujibizana risasi kama congo tu tunataka Samia na abduli nao waje kutuliza maandamano sio kuwatumia masikini hao waje kufa siku hiyo kitawaka
 
Blah blah blah. Upo busy kuwaza maendeleo na muda wote na masaa 24 siku saba za wiki unakesha mitandaoni. Hivi unapata hata muda wa kuoga kweli.?
Kati ya watu waliotakiwa waandamane na wewe ilibidi uwe mmoja wetu maana maisha yako ni duni tu.
sasa mm nshajitengeneza mda mrefu ndo maaana najiskia vibaya kuona mtu anarudishwa nyuma kibiashara, na wote waliochoma biashara za watu wamepata stahiki zao
 
Usilie tarehe 9 ni mwendo wa kujibizana risasi kama congo tu tunataka Samia na abduli nao waje kutuliza maandamano sio kuwatumia masikini hao waje kufa siku hiyo kitawaka
🤣🤣🤣🤣🤣 karibu sana uwanjan
 
Sawa hiyo jamba jamba mliyopata soon baada ya 29/10 sasa jaribuni tena mwezi December, mtalia na kusaga meno.
Hata ukiwa na milioni hiyo nyanya hutaipata ni kuwapiga full lock down hakuna kenge kuonekana nje, yaani ukitoka nje ni shaba ya kichwa, intaneti tunazima, na tutaenda mbali zaidi tunazima na umeme nchi, nyau nyie mtapiga magoti na kumsalimia abduli shikamoo baba.
Umpige nani lockdown wakati muandamanaji ndio mlima nyanya na mlima vyakula vyote na siku hiyo tunataka Samia na abduli waje kutuliza maandamano sio kuwatumia nyie mafukara mtakufa kama kuku maana mtachezea Shaba za kutosha kutoka Kwa raia
 
Umpige nani lockdown wakati muandamanaji ndio mlima nyanya na mlima vyakula vyote na siku hiyo tunataka Samia na abduli waje kutuliza maandamano sio kuwatumia nyie mafukara mtakufa kama kuku maana mtachezea Shaba za kutosha kutoka Kwa raia
acha maneno mengi toka nje anza kazi
 
Unafanya biashara gani wewe kapuku tu. Kubeti nayo ni biashara? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Kutwa kushinda vibanda umiza kubeti halafu unasema una biashara.
maskini anajulikana
 
sasa mm nshajitengeneza mda mrefu ndo maaana najiskia vibaya kuona mtu anarudishwa nyuma kibiashara, na wote waliochoma biashara za watu wamepata stahiki zao
Hauna akili. Kichwa chako kinalemea mwili tu hapo.
Yule Sharif majini alikuwa anachoma biashara ipi?
Yule mtangazaji wa clouds je?
Vipi yule askari magereza? Yaani wewe huo mbichwa wako kama yai la mbuni kazi yake ni kulemea huo mwili tu.
 
🤣🤣🤣🤣🤣 karibu sana uwanjan
Siku hiyo utakua umejifungia unajinyea tu na ninavyowapenda kikosi Cha abduli akiangalii huyu chawa au huyu muandamanaji ni Shaba tu mpaka nyumbani unapolala hivyo jianda
 
Umpige nani lockdown wakati muandamanaji ndio mlima nyanya na mlima vyakula vyote na siku hiyo tunataka Samia na abduli waje kutuliza maandamano sio kuwatumia nyie mafukara mtakufa kama kuku maana mtachezea Shaba za kutosha kutoka Kwa raia
alafu tatizo mnaongea sana si unaona wale jamaa waliokamatwa walivopauka, wale jamaa wako hospital saaahv japo kwa nifa kidogo namuombea atoke maaana kesi yake busara inaweza kutumika tu, ila wale wengine ambao walikua kwenye maadamano si unaona walivopauka
 
Siku hiyo utakua umejifungia unajinyea tu na ninavyowapenda kikosi Cha abduli akiangalii huyu chawa au huyu muandamanaji ni Shaba tu mpaka nyumbani unapolala hivyo jianda
unatakiwa mpaka saahv uwe ushaingia road wenzako kule ndam wanakandwa sio poa, wamepelekwa wapate matatibu kma hujui
 
alafu tatizo mnaongea sana si unaona wale jamaa waliokamatwa walivopauka, wale jamaa wako hospital saaahv japo kwa nifa kidogo namuombea atoke maaana kesi yake busara inaweza kutumika tu, ila wale wengine ambao walikua kwenye maadamano si unaona walivopauka
Munakamata watu hovyo hivyo waandamanaji wenyewe mnawaogopa hahahaha kazi ipo pale pale endeleeni kukamata watu wakati waandamanaji mnawaacha mitaani kazi mnayo n🤣🤣🤣🤣🤣
 
Usichukulie masihara
Na serikali iongeze walengaji watungue hiyo mijambazi
20251109_140420.jpg
 
unatakiwa mpaka saahv uwe ushaingia road wenzako kule ndam wanakandwa sio poa, wamepelekwa wapate matatibu kma hujui
Sisi hatuendeshwi na mihemko nyie mnakurupuka mnakamata watoto wa watu na kuua endeleeni kuwatesa mpaka muwaue mkifikiri ndio mmemaliza tatizo mlilolisababisha wakati kikosi kazi lipo salama na badoooooo🤣🤣🤣🤣🤣
 
Serikali ina mapungufu mengi kama ilivyokuwa kwa iliyopita , mambo ya watu wasiojulikana na utekaji usio tolewa maelezo ya kina

Pia hilo FUKUTO la sasa kwa huyu Mama pia linachagizwa na sababu kama hizi ambazo hazisemwi semwi sana hadharani ‘underlying causes’ kama dini,jinsia na uzanzibar wake

Mimi ni mzalendo ambae nipo neutral tu sipendi serikali kubambikiza na kupora haki za watu wake kwa namna yoyote achia mbali kumwaga damu na pia sioni kama hizo motives za udini , jinsia na eneo atokako mtu kama ni vigezo vya kutomkubali mtu

Mbeleni huko tuimarishe sana idara zetu za kitaasisi ( mahakama,Bunge ) ziwe huru kuliko utashi wa watu na vikundi vichache kujiamulia na kuhodhi kila kitu
 
laiti mngejua ugumu watu wanapata kuanza biashara na sacrifise wanafanya basi mngelewaga kwann wezi wanachomwa
Biashara za MAFISADI hazina mchango wowote kwa Taifa, hawalipi kodi. Maandamano yajayo tutazipiga kiberiti biashara zenu za kutosha. Mkiiba kodi zetu hakikisheni mnafungua biashara nje ya nchi huko.
 
Munakamata watu hovyo hivyo waandamanaji wenyewe mnawaogopa hahahaha kazi ipo pale pale endeleeni kukamata watu wakati waandamanaji mnawaacha mitaani kazi mnayo n🤣🤣🤣🤣🤣
eeeh mkuu, tunakuogopa hivo ingia road sasa
 
Back
Top Bottom