Kunani JamiiForums?

Kunani JamiiForums?

Relax, ni jambo la kawaida kwa mifumo ya tovuti kama JF kufuta cookies au session za watumiaji baada ya muda fulani au baada ya security patch kufanyika.
 
Cha muhimu usipende kufungua links zinazotumwa na watu humu JF, usipende kutuma videos au picha uliyopiga kwa simu yako au uliyo screenshot, na usipende kuingia DM za watu. Ukifanya hayo mtu yeyote aweza kukuHack.
Otherwise JF ni sehemu salama sana yenye kutunza na kuficha faragha za watumiaji wake
 
Kwa lipi ulilokua nalo na wewe hebu tupishe huko, mnaishi kwa kujihisi hisi hadi mnaboa.
 
Cha muhimu usipende kufungua links zinazotumwa na watu humu JF, usipende kutuma videos au picha uliyopiga kwa simu yako au uliyo screenshot, na usipende kuingia DM za watu. Ukifanya hayo mtu yeyote aweza kukuHack.
Otherwise JF ni sehemu salama sana yenye kutunza na kuficha faragha za watumiaji wake
Hili nalo nilakuzingatiwa
 
Back
Top Bottom