Hapo sawa Ila unajisahaulisha makusudi juu ya ule usemi wa kale kuwa: " mama ni mama haijalishi ni wako au wa mwenzako"!endelea na mamayako..sihitaji kukushawishi zaidi
Hapo sawa Ila unajisahaulisha makusudi juu ya ule usemi wa kale kuwa: " mama ni mama haijalishi ni wako au wa mwenzako"!endelea na mamayako..sihitaji kukushawishi zaidi
Mungu wa kokoyo.Kuna watu baada ya Rais na Amiri jeshi mkuu Mh SSH kuanza uteuzi wa viongozi mbalimbali kuna watu roho zimewauma sana na wanatumia watu sana ili wamchafue Rais wetu kipenzi,
Kuna watu hawakutaka awe pale sasa watu wanajifanya kumkosoa sana na kundi linaloongoza ni lile kundi la mataga waliokua wanamuabudu mwendazake,
ni hivi SSH ndiye Rais na Amiri jeahi mkuu hamna cha kumfanya wala cha kubadili, genge la Mwendazake linajifanya linamuongoza mama aongoze nchi kama mwenda zake,
huyo mwenda zake alikuja tu kuvuruga hii nchi na hana ushujaa wwte ule,
sasa hivi kuna mataga wapya wamejazwa mitandaoni kwaajili ya kumchafua SSH
Mtakwama tu washenzi nyie,
Na ameshahakikishiwa ulinzi na papaa mukulu Generali CDF Mabeyo mkajinyonge sasa
Rais wetu ni Samia na tulichelewa sana kumpata mtu mwenye maono kama huyu, Mungu ambariki sana
Ambaye hapendi ahamie nchi nyingine au ajiue
over Roja