AminaNa nilichogundua wamefungua account juzi tu waje kumchafua Rais wetu. Watashindwa kwa jina Yesu. Nimepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka,ng'e na adui muovu Nasambaritisha magenge na madhabahu zote za kishetani kwa jina la Yesu.
AminaNa nilichogundua wamefungua account juzi tu waje kumchafua Rais wetu. Watashindwa kwa jina Yesu. Nimepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka,ng'e na adui muovu Nasambaritisha magenge na madhabahu zote za kishetani kwa jina la Yesu.
Huyu Mama, Atastuka Usingizini 2025 Wakati Anakabidhi Funguo Za Ikulu.
Huyu Mama, Atastuka Usingizini 2025 Wakati Anakabidhi Funguo Za Ikulu.
Mwingine huyu hapa!
Katafute malimao unywe kupunguza stress.
Raisi wetu kipenzi. Chaguo la Mungu. Mpenda haki. Mama Samia Suluhu Hassan.Anayechukia dhuluma yuko kazini. Tuko naye begakwabega.
AminaNiko pamoja na Mama Samia. Mungu wa Mbinguni akubariki na kukulinda sana Amiri Jeshi Mkuu. Hujaomba kuombewa; tunakuombea utake usitake maana peke yako huwezi.
Kwa hiyo unataka swala wale hayo madini?Eti serengeti kuna madini kede kede na yaanze kuchimbwaa, duuuu nimeanza kushtukia huyu madam wenu!
Wasukuma wa aina yako mnatuaibisha sana sisi wasukuma wenzenu!Ahahahahaha ni magazeti au viTV,raisi anayetumia akili,hamna kitu hapo
Pamoja sana mkuu BigKing,uwe unanitagg nije ukiona wapumbavu kama hawa
Kumchafua Amiri Jeshi Mkuu ni UHAINI! Adhabu inajulikana.Kuna watu baada ya Rais na Amiri jeshi mkuu Mh SSH kuanza uteuzi wa viongozi mbalimbali kuna watu roho zimewauma sana na wanatumia watu sana ili wamchafue Rais wetu kipenzi,
Kuna watu hawakutaka awe pale sasa watu wanajifanya kumkosoa sana na kundi linaloongoza ni lile kundi la mataga waliokua wanamuabudu mwendazake,
ni hivi SSH ndiye Rais na Amiri jeahi mkuu hamna cha kumfanya wala cha kubadili, genge la Mwendazake linajifanya linamuongoza mama aongoze nchi kama mwenda zake,
huyo mwenda zake alikuja tu kuvuruga hii nchi na hana ushujaa wwte ule,
sasa hivi kuna mataga wapya wamejazwa mitandaoni kwaajili ya kumchafua SSH
Mtakwama tu washenzi nyie,
Na ameshahakikishiwa ulinzi na papaa mukulu Generali CDF Mabeyo mkajinyonge sasa
Rais wetu ni Samia na tulichelewa sana kumpata mtu mwenye maono kama huyu, Mungu ambariki sana
Ambaye hapendi ahamie nchi nyingine au ajiue
over Roja
Hama nchi ukatafute rais wako.Labda hujanifahamu toka awali..mimi sikatai urais wa SSH kwa mujibu wa katiba yenu lkn she n't my president kwa sababu hana uezo. Hata kiimani tu ni makosa makubwa kwa umma kuongozwa na mwanamke.
HahahahahaMwingine huyu hapa!
Hama nchi.
Raisi ni mheshimiwa mama Samia Suluhu Hassan mpaka 2030!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nenda kamfufue yule wako basi,
Kama unaweza nenda kamfufue,ukilia Lia hapa haikusaidii kitu,
Yule ndie RAIS sasa,hutaki jitie madole
Kudaadeki.Huyu Mama, Atastuka Usingizini 2025 Wakati Anakabidhi Funguo Za Ikulu.
Mkuu muwe mnaniita hawa jamaa lazima tuzae nao.King,uwe unanitagg nije ukiona wapumbavu kama hawa
Na hili ndio wale sukuma gang hawakulitaka.naiona katiba mpya inanukia, hakuna utawala wa kiimla.
Imani ipi hiyo wakati mamaako nsiye aliye muongoza baba yako kukulea wewe ? Na ukae ukijua kuwa imani yako sio imani ya tanzania hivyo usitake tuamini imani yako , tanzania ni nchi isiyo na dini hivyo hatuwezi kuzingatia ujinga huoLabda hujanifahamu toka awali..mimi sikatai urais wa SSH kwa mujibu wa katiba yenu lkn she n't my president kwa sababu hana uezo. Hata kiimani tu ni makosa makubwa kwa umma kuongozwa na mwanamke.
Kama uko majuu mkuu kaa huko huko.
Chini ya Mwendazake watu walikuwa wanatekwa ili waweke sahihi za kukubali kunyang'anywa fedha zao, ama sivyo unafunguliwa kesi za uhujumu uchumi.
This is NOT ABOUT IDEAS its realtime State Robbery.
Kama huelewi bado njoo kipande hii na biashara yako leo kabla mataga hawajawa complitely neutralised.
Mna msifia mtu aliyekuwa tyrant and a quai-dictator.