Kuna watu kwenye system wanatumia nguvu sana kumchafua Rais Samia, Mtafeli Samia ni chaguo la Mungu

Eti serengeti kuna madini kede kede na yaanze kuchimbwaa, duuuu nimeanza kushtukia huyu madam wenu!
Kwa hiyo unataka swala wale hayo madini?

Unajua ukubwa wa eneo la uhifadhi Tanzania? Au unaropoka kitu usichokijua.

Raisi amesema tuangalie opportunity cost...tuone chenye faida. Whats wrong with that?

Acheni hizo chuki zenu binafsi kwa mama. Mwacheni achape kazi. Kazi iendelee..
 
Kuna watu baada ya Rais na Amiri jeshi mkuu Mh SSH kuanza uteuzi wa viongozi mbalimbali kuna watu roho zimewauma sana na wanatumia watu sana ili wamchafue Rais wetu kipenzi,

Kuna watu hawakutaka awe pale sasa watu wanajifanya kumkosoa sana na kundi linaloongoza ni lile kundi la mataga waliokua wanamuabudu mwendazake,

ni hivi SSH ndiye Rais na Amiri jeahi mkuu hamna cha kumfanya wala cha kubadili, genge la Mwendazake linajifanya linamuongoza mama aongoze nchi kama mwenda zake,

huyo mwenda zake alikuja tu kuvuruga hii nchi na hana ushujaa wwte ule,
sasa hivi kuna mataga wapya wamejazwa mitandaoni kwaajili ya kumchafua SSH

Mtakwama tu washenzi nyie,

Na ameshahakikishiwa ulinzi na papaa mukulu Generali CDF Mabeyo mkajinyonge sasa

Rais wetu ni Samia na tulichelewa sana kumpata mtu mwenye maono kama huyu, Mungu ambariki sana

Ambaye hapendi ahamie nchi nyingine au ajiue

over Roja
Kumchafua Amiri Jeshi Mkuu ni UHAINI! Adhabu inajulikana.
 
Labda hujanifahamu toka awali..mimi sikatai urais wa SSH kwa mujibu wa katiba yenu lkn she n't my president kwa sababu hana uezo. Hata kiimani tu ni makosa makubwa kwa umma kuongozwa na mwanamke.
Hama nchi ukatafute rais wako.

Kama upo hapa Tanzania, uwe Mtanzania au Mnyarwanda au Mrundi basi huyu ndie rais wako utake usitake yaani kinguvu nguvu
 
King,uwe unanitagg nije ukiona wapumbavu kama hawa
Mkuu muwe mnaniita hawa jamaa lazima tuzae nao.

Hawawezi kumchafua Mheshimiwa rais wetu Mama yetu Samia Suluhu Hassan. Mungu amemchagua na Sisi tumemkubali kutokana na busara zake na hekma zake.

Mama afanye kazi na Sisi tutaacha tote tupambane nao hawa wehu.

King Bill
 
Labda hujanifahamu toka awali..mimi sikatai urais wa SSH kwa mujibu wa katiba yenu lkn she n't my president kwa sababu hana uezo. Hata kiimani tu ni makosa makubwa kwa umma kuongozwa na mwanamke.
Imani ipi hiyo wakati mamaako nsiye aliye muongoza baba yako kukulea wewe ? Na ukae ukijua kuwa imani yako sio imani ya tanzania hivyo usitake tuamini imani yako , tanzania ni nchi isiyo na dini hivyo hatuwezi kuzingatia ujinga huo
 
Kama uko majuu mkuu kaa huko huko.
Chini ya Mwendazake watu walikuwa wanatekwa ili waweke sahihi za kukubali kunyang'anywa fedha zao, ama sivyo unafunguliwa kesi za uhujumu uchumi.

This is NOT ABOUT IDEAS its realtime State Robbery.
Kama huelewi bado njoo kipande hii na biashara yako leo kabla mataga hawajawa complitely neutralised.

Mna msifia mtu aliyekuwa tyrant and a quai-dictator.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom