Kuna watu eti wanataka kumchangia yule Ng'ombe

Kuna watu eti wanataka kumchangia yule Ng'ombe

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,176
Reaction score
48,460
Nasikia kuna watu wapo bize kutafuta habari za yule Ng'ombe kutaka kujua hali yake baada ya ile ajali.

Kuna diaspora mmoja kasema kama huyo Ng'ombe atahitaji matibabu mazuri zaidi anaijua Hospitali moja mahiri ya UC Davis Veterinary Hospital iliyoko California huko Marekani.

Na kama aliuawa kwenye ile ajali Kuna watu wamejitolea kugharamia mazishi yake kwa hoja kuwa mashujaa hawaliwi bali huzikwa kwa heshima zote ili iwe kumbukumbu kwa vizazi vijavyo.

Lakini habari za chini chini kutoka Katoro kuwa kuna tajiri mmoja mmliki wa Ng'ombe kasema kama yule Ng'ombe yupo hai basi yeye atabadilishana na mmiliki wake Ng'ombe mmoja kwa Ng'ombe wake mia Moja.

Msukuma huyo "chapa ya Ng'ombe" amesikika akisema kuwa ni heri kuwa na Ng'ombe mmoja mpigana vita kuliko kuwa na Ng'ombe mia wala majani wasio na faida.
 
Nasikia kuna watu wapo bize kutafuta habari za yule Ng'ombe kutaka kujua hali yake baada ya ile ajali.

Kuna diaspora mmoja kasema kama huyo Ng'ombe atahitaji matibabu mazuri zaidi anaijua Hospitali moja mahiri ya UC Davis Veterinary Hospital iliyoko California huko Marekani.

Na kama aliuawa kwenye ile ajali Kuna watu wamejitolea kugharamia mazishi yake kwa hoja kuwa mashujaa hawaliwi bali huzikwa kwa heshima zote ili iwe kumbukumbu kwa vizazi vijavyo.

Lakini habari za chini chini kutoka Katoro kuwa kuna tajiri mmoja mmliki wa Ng'ombe kasema kama yule Ng'ombe yupo hai basi yeye atabadilishana na mmiliki wake Ng'ombe mmoja kwa Ng'ombe wake mia Moja.

Msukuma huyo "chapa ya Ng'ombe" amesikia akisema kuwa ni heri kuwa na Ng'ombe mmoja mpigana vita kuliko kuwa na Ng'ombe mia wala majani wasio na faida.
Mbon polisi wamsema hawajapokea taarifa yoyote ya hiyo ajali
 
Nasikia kuna watu wapo bize kutafuta habari za yule Ng'ombe kutaka kujua hali yake baada ya ile ajali.

Kuna diaspora mmoja kasema kama huyo Ng'ombe atahitaji matibabu mazuri zaidi anaijua Hospitali moja mahiri ya UC Davis Veterinary Hospital iliyoko California huko Marekani.

Na kama aliuawa kwenye ile ajali Kuna watu wamejitolea kugharamia mazishi yake kwa hoja kuwa mashujaa hawaliwi bali huzikwa kwa heshima zote ili iwe kumbukumbu kwa vizazi vijavyo.

Lakini habari za chini chini kutoka Katoro kuwa kuna tajiri mmoja mmliki wa Ng'ombe kasema kama yule Ng'ombe yupo hai basi yeye atabadilishana na mmiliki wake Ng'ombe mmoja kwa Ng'ombe wake mia Moja.

Msukuma huyo "chapa ya Ng'ombe" amesikia akisema kuwa ni heri kuwa na Ng'ombe mmoja mpigana vita kuliko kuwa na Ng'ombe mia wala majani wasio na faida.
Madaktari wa Mifugo tunawaombea Mungu awape kibali na moyo wa kumtibia.

Ni vyema tujifunze kulinda haki za wanyama
 
Ng'ombe kavuka sikukuu salama, anakuja kugongwa kizembe kabisa mwaka mpya huu. Ina maana dereva mzembe mpaka agonge ng'ombe mkubwa. Inabidi akamatwe ashitakiwe kwa uzembe barabarani.
 
Km bado ng'ombe shujaa yupo hai
apewe matibabu haraka sana

Tungepata ngo'mbe 10 km huyu taifa lingesonga mbele
Huyu sio km yule ng'ombe wa bi chura!
 
Meseji senti kwa supa chawa wote, kwamba hawapendwi kuliko wanyama, uchawa ni aibu!
 
Ila watu mna vituko sana.Jambo kama hilo liliwahi kumtokea Mwigulu Nchemba Madelu alipomgonga punda kule Dodoma.Acha nchi ichemke tu.
1000124558.jpg
 
Haya mambo tunayaona kama utan
Lkn mbegu Tyr ipo inastawi na ikifikiwa hali ya kivunwa itakuwa mbaya sana
Watawala heshimuni wananchi vyeo ni vya kupita
 
Back
Top Bottom