Kuna wanawake ving'ang'anizi sana

Aiseee umeongea vema sana ila wenyewe wanadai eti wakituambia ukweli ulioko mioyoni mwao tuatawakataa ndio maana wanaamua kutudanganya loh ukatili ulioje

Ain't an excuse hiyo Khantwe.. Unajua kabisa ukiongopa unaanza kutengeneza bomu.. Miuongo yooote iliojaa hapa duniani hajaiona ndo aje na uongo wa kuoa..? Hapana na dhambi kubwa kucheza na feelings za mwenzio.. my motto's always usimtendee mwenzio usichotaka kutendewa wewe..
 
Last edited by a moderator:

Ama kweli wanaume wote wangekuwa na mawazo haya Tanzania ingekuwa sehemu salama ya kuishi mbona....ana bahati paloma..
 
Last edited by a moderator:
Umeona eeh? Wanakaa kung'ang'ania jitu halipendeki wakati kina MO11 mpo available

Aisee
nimesema single ila available umesema wewe ila nalipokea
 
Last edited by a moderator:
Pole zake anaetaka kuachwa kimyakimya subiri zamu yako na wewe uachwe kimyakumya!
 
Ulipatwa na nini mpaka ukamwacha, acha tamaa kutest test watoto wa watu alafu unawaacha, labda ujatimiza ahadi, ulikula mbunye bule unataka kusepa, au mlichangia kununua kitu cha thamani bado kiko kwako wakati yeye haoni faida
 


Acha kunitakia mabaya mkuu,nidedishwe?
 
Hatari kweli kweli! Vipi kama wewe unajidanganya na kipya utamtafuta huyo anayekusumbua? Mlipatana kuwa wapenzi basi leo mpatanane kuwa wa Enzi na maisha yaendelee.
 

In red: Hiyo huwa siitamki hovyo hovyo, huwa ni last resort kama strategies zangu zote zimeshindwa ndio huwa nailaunch kama weapon of mass destruction iwapo tu itaguarantee ushindi kwangu au binti anaonyesha bila kuipiga hiyo haingiliki. btw huyo binti sijawahi kumwambia hivyo.
 

Ha ha ha.. u deserve a hole down there lol.. Ila kumbuka mtenda akitendewa hujihisi kaonewa.. Kama hukukojoleshwa dagaa wewe sijui..
 
its hurt kuachwa na umpendae jamani na inauma sana so its better tuwe wa kweli kuliko kuumizana
 
its hurt kuachwa na umpendae jamani na inauma sana so its better tuwe wa kweli kuliko kuumizana

Ha ha ha Pritty wa joseph.. Its high time now that people should stop falling in love using their hearts.. Kuna wakati unaona kabisa toka siku ya kwanza kwamba kuna kasoro.. Badala ya kutoka mita unajidanganya ati he'll change.. Yaani umemkuta rigid halafu wajiaminisha utamlegeza..? Maisha ni zaidi ya mahaba..
 
Last edited by a moderator:
Afadhali anae kung'ang'ania anakutaka..kuna mwingine anang'ang'aniza Ugomvi na wewe...unamkwepa wapi...lazima akutafute kwa shari...

Mkuu nimesoma comment yako hadi nimeshtuka...nakumbuka nikiwa chuo kuna mtoto nilimuacha kwa kumkalia kimya aka kumute....alinitafuta kwa shari huyo....yaan alikuwa anataka bifu tu....aisee kuna gals ni watata mkuu
 
Sana shansarie unakuwa hujui umekosea wap nin shida, kakumbwa na nini
Ni bora mtu kuwa mstaarabu kama mlianza kistaarabu kwanini msimalizane kistaarabu? ni rahisi sana kuliko mtoa mada anavyojitapa hana kawaida ya kuwaambia lakini inatesa sana hii.
sana anaichukulia poa sana ila inaumiza sana
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…