makolola
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 765
- 290
Kumnyamaziakimya sio suruhu
Mwambie wewe huwezi kuendelea na mahusiano mpe sababu zako
hata akiendelea kukupigia ajue kabisa humtaki kwasababu zipi kukaa kimya sio busara
ukimpa sababu atakwambia atajirekebisha na kuendelea kukusumbua