Kuna wanawake ving'ang'anizi sana

Kuna wanawake ving'ang'anizi sana

Kuna wanawake wengine ving'ang'anizi sana hata umfanyeje bado anaendelea kusumbua.

Hata kama huambiwi wazi kuwa umeachwa au mtu hakutaki dalili huoni uache kusumbua watu.

Unapiga simu wiki nzima haipokelewi, unatuma text hazijibiwi, unabadili simu bado unapuuzwa lakini bado huachi kusumbua.

Hata kama kusoma hujui hata macho huna?picha huoni?

Tujifunze kusoma dalili mbaya na tuchukue hatua.
Isije ikawa wewe ndo yule tapeli niliyesikia habari zake,alimuoa binti kwa ndoa akamshauri akope hela benki
waanze biashara,yule binti akamtii mme wake akakopa milioni 6 akampatia mmewe mme akatimuka nazo na sasa anajifanya amemuacha na anamwambia maneno kama haya ya kwako,subiri kiama kinakuja.kama hutaki kusumbuliwa lipa mali ya watu utakuwa salama.acha utapeli kwa kisingizio cha mapenzi.
 
na yeye kasimama tuu anasubiri umtandike makofi kama umemzaa wewe mxiiiuuuu viazi vingine havifai hata kwa chipsi nilijua kuna tikiti tuu kumbe kuna kiazi pia haya endeleeni kujazana ujinga

Mkuu umepanic
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom