tz2015
JF-Expert Member
- Jun 23, 2014
- 982
- 447
Isije ikawa wewe ndo yule tapeli niliyesikia habari zake,alimuoa binti kwa ndoa akamshauri akope hela benkiKuna wanawake wengine ving'ang'anizi sana hata umfanyeje bado anaendelea kusumbua.
Hata kama huambiwi wazi kuwa umeachwa au mtu hakutaki dalili huoni uache kusumbua watu.
Unapiga simu wiki nzima haipokelewi, unatuma text hazijibiwi, unabadili simu bado unapuuzwa lakini bado huachi kusumbua.
Hata kama kusoma hujui hata macho huna?picha huoni?
Tujifunze kusoma dalili mbaya na tuchukue hatua.
waanze biashara,yule binti akamtii mme wake akakopa milioni 6 akampatia mmewe mme akatimuka nazo na sasa anajifanya amemuacha na anamwambia maneno kama haya ya kwako,subiri kiama kinakuja.kama hutaki kusumbuliwa lipa mali ya watu utakuwa salama.acha utapeli kwa kisingizio cha mapenzi.