Kichwa Ndio Mtu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 3,079
- 1,719
- Thread starter
- #121
jamani wee mkaka mshukuru mungu kama unae anae kung'ang'ania kama unasababu za kutokumwambia ukweli kua humtaki hukua na sababu za kuyaleta humu au yupo humu nini?? nafikiri atakua na whatssp na fb account plus tweet mfikishie ujumbe na huko lkn kumtwisha mtoto wawatu ugonjwa usio na tiba sio busara kumbe hukumtaka wakudumu si ungemwambia mimi na ww chapa ilale nina mambo mengine sipo kuoa akajua kua mnafanya for funny akipata muelewa amkubalie umemvunjia riziki zake kibao umemtambulisha mpaka kwa panya wako nyumbani leo nyoko nyoko humu nyamaaaa weeee kichwa kama tikiti maji tena naomba mungu akuroge kabisa ushike adabu akijamba umpe pole kama hujamramba mpaka magaga ndio maana mnarogwa nyie mkia kabisa wewe
Nyekundu: Uiropoke jambo ambalo huna uhakiki nalo.
Blue: Usitaharuki,sijakusema wewe na wala saijkuacha wewe,tulia.
Kijani: Imebidi nicheke,mungu aniroge?mungu ni mchawi?btw kwa kua umeandika mungu na sio Mungu basi kamwambie huyo mungu wako mpumbavu na mchawi aniroge niko tayari. Unaonekena unapenda sana ushirikina wewe binti,utakua umezaliwa familia ya kichawi.