Kuna wanawake ving'ang'anizi sana

Kuna wanawake ving'ang'anizi sana

Mkipendwa shida mkikataliwa shida...ili mradi hamueleweki.



Kuna wanawake wengine ving'ang'anizi sana hata umfanyeje bado anaendelea kusumbua.

Hata kama huambiwi wazi kuwa umeachwa au mtu hakutaki dalili huoni uache kusumbua watu.

Unapiga simu wiki nzima haipokelewi, unatuma text hazijibiwi, unabadili simu bado unapuuzwa lakini bado huachi kusumbua.

Hata kama kusoma hujui hata macho huna?picha huoni?

Tujifunze kusoma dalili mbaya na tuchukue hatua.
 
Last edited by a moderator:
Aiseeee....maisha haya nyie acheni tu....mwanzo na mimi nilikuwaga mgumu hivyo hivyo kuelewa lakini siku hizi ukichwa maji umenitoka naelewa fasta usipime....

Afadhali sasa tutapumua ....
 
Yani hizi mada nyingine unaweza ukasema umeanzishiwa ww daah!
 
Sasa unashindwa nini kumwambia kuwa humtaki tena? wewe ni mwanaume kweli? huyo ndio mwanamke anaejielewa,kwanini asikutafute wakati haujamtamkia neno kamw mara ya kwanza ulivyo mwambia kuwa
 
Never fall in love because kila kinacho'fall' kina 'break'....unless uwe na moyo wa mpira utanusurika.
 
Sasa unashindwa nini kumwambia kuwa humtaki tena? wewe ni mwanaume kweli? huyo ndio mwanamke anaejielewa,kwanini asikutafute wakati haujamtamkia neno kamw mara ya kwanza ulivyo mwambia kuwa

Kaa utulie umalizie ulichotaka kuandika.
 
jamani wee mkaka mshukuru mungu kama unae anae kung'ang'ania kama unasababu za kutokumwambia ukweli kua humtaki hukua na sababu za kuyaleta humu au yupo humu nini?? nafikiri atakua na whatssp na fb account plus tweet mfikishie ujumbe na huko lkn kumtwisha mtoto wawatu ugonjwa usio na tiba sio busara kumbe hukumtaka wakudumu si ungemwambia mimi na ww chapa ilale nina mambo mengine sipo kuoa akajua kua mnafanya for funny akipata muelewa amkubalie umemvunjia riziki zake kibao umemtambulisha mpaka kwa panya wako nyumbani leo nyoko nyoko humu nyamaaaa weeee kichwa kama tikiti maji tena naomba mungu akuroge kabisa ushike adabu akijamba umpe pole kama hujamramba mpaka magaga ndio maana mnarogwa nyie mkia kabisa wewe
 
Ha ha ha ha!
jamani wee mkaka mshukuru mungu kama unae anae kung'ang'ania kama unasababu za kutokumwambia ukweli kua humtaki hukua na sababu za kuyaleta humu au yupo humu nini?? nafikiri atakua na whatssp na fb account plus tweet mfikishie ujumbe na huko lkn kumtwisha mtoto wawatu ugonjwa usio na tiba sio busara kumbe hukumtaka wakudumu si ungemwambia mimi na ww chapa ilale nina mambo mengine sipo kuoa akajua kua mnafanya for funny akipata muelewa amkubalie umemvunjia riziki zake kibao umemtambulisha mpaka kwa panya wako nyumbani leo nyoko nyoko humu nyamaaaa weeee kichwa kama tikiti maji tena naomba mungu akuroge kabisa ushike adabu akijamba umpe pole kama hujamramba mpaka magaga ndio maana mnarogwa nyie mkia kabisa wewe
 
jamani wee mkaka mshukuru mungu kama unae anae kung'ang'ania kama unasababu za kutokumwambia ukweli kua humtaki hukua na sababu za kuyaleta humu au yupo humu nini?? nafikiri atakua na whatssp na fb account plus tweet mfikishie ujumbe na huko lkn kumtwisha mtoto wawatu ugonjwa usio na tiba sio busara kumbe hukumtaka wakudumu si ungemwambia mimi na ww chapa ilale nina mambo mengine sipo kuoa akajua kua mnafanya for funny akipata muelewa amkubalie umemvunjia riziki zake kibao umemtambulisha mpaka kwa panya wako nyumbani leo nyoko nyoko humu nyamaaaa weeee kichwa kama tikiti maji tena naomba mungu akuroge kabisa ushike adabu akijamba umpe pole kama hujamramba mpaka magaga ndio maana mnarogwa nyie mkia kabisa wewe

Uwiii. You just made my day. Nimecheka duh!
 
jamani wee mkaka mshukuru mungu kama unae anae kung'ang'ania kama unasababu za kutokumwambia ukweli kua humtaki hukua na sababu za kuyaleta humu au yupo humu nini?? nafikiri atakua na whatssp na fb account plus tweet mfikishie ujumbe na huko lkn kumtwisha mtoto wawatu ugonjwa usio na tiba sio busara kumbe hukumtaka wakudumu si ungemwambia mimi na ww chapa ilale nina mambo mengine sipo kuoa akajua kua mnafanya for funny akipata muelewa amkubalie umemvunjia riziki zake kibao umemtambulisha mpaka kwa panya wako nyumbani leo nyoko nyoko humu nyamaaaa weeee kichwa kama tikiti maji tena naomba mungu akuroge kabisa ushike adabu akijamba umpe pole kama hujamramba mpaka magaga ndio maana mnarogwa nyie mkia kabisa wewe
 
cheka mwaya wanaudhi sana hawa hujiulizi why anakung'ang'ania umekazana kumnanga mwenzio mitandaoni sijui picha huoni sijui kusoma hujui watapoteza sana boxer mwaka huu kwa jeuri zao kuku maji kabisa huyu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom