BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Mkipendwa shida mkikataliwa shida...ili mradi hamueleweki.
Kuna wanawake wengine ving'ang'anizi sana hata umfanyeje bado anaendelea kusumbua.
Hata kama huambiwi wazi kuwa umeachwa au mtu hakutaki dalili huoni uache kusumbua watu.
Unapiga simu wiki nzima haipokelewi, unatuma text hazijibiwi, unabadili simu bado unapuuzwa lakini bado huachi kusumbua.
Hata kama kusoma hujui hata macho huna?picha huoni?
Tujifunze kusoma dalili mbaya na tuchukue hatua.
Last edited by a moderator: