tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,310
Atajuaje bila kuambiwa
Yes i am me
Bora uniambie kila mmoja akaendelea na hamsini zake..... sio kuniweka pending namna hiyoo
anamuweka mwenzie pending ili siku yakimkuta huko apate pa kwenda kutolea machungu
Kuna wanawake wengine ving'ang'anizi sana hata umfanyeje bado anaendelea kusumbua. Hata kama huambiwi wazi kua umeachwa au mtu hakutaki dalili huoni uache kusumbua watu. unapiga simu wiki nzima haipokelewi,unatuma txt hazijibiwi,unabadili simu bado unapuuzwa lakini bado huachi kusumbua. Hata kama kusoma hujui hata macho huna?picha huoni? Tujufunze kusoma dalili mbaya na tuchukue hatua.
Kuna wanawake wengine ving'ang'anizi sana hata umfanyeje bado anaendelea kusumbua. Hata kama huambiwi wazi kua umeachwa au mtu hakutaki dalili huoni uache kusumbua watu. unapiga simu wiki nzima haipokelewi,unatuma txt hazijibiwi,unabadili simu bado unapuuzwa lakini bado huachi kusumbua. Hata kama kusoma hujui hata macho huna?picha huoni? Tujufunze kusoma dalili mbaya na tuchukue hatua.
Aiseeee....maisha haya nyie acheni tu....mwanzo na mimi nilikuwaga mgumu hivyo hivyo kuelewa lakini siku hizi ukichwa maji umenitoka naelewa fasta usipime....
kumbe na ww ulikuwa king'ang'anizi?!!..... Sasa hivi uimejanjaruka kila kitu mwake?
Bora lakn hukuchukua ule uamuz wenu ule wa ku........
hivi siku unakuta naanza kukufanyia hivyo utafanyeje?
Kuna wanawake wengine ving'ang'anizi sana hata umfanyeje bado anaendelea kusumbua. Hata kama huambiwi wazi kua umeachwa au mtu hakutaki dalili huoni uache kusumbua watu. unapiga simu wiki nzima haipokelewi,unatuma txt hazijibiwi,unabadili simu bado unapuuzwa lakini bado huachi kusumbua. Hata kama kusoma hujui hata macho huna?picha huoni? Tujufunze kusoma dalili mbaya na tuchukue hatua.
Afadhali anae kung'ang'ania anakutaka..kuna mwingine anang'ang'aniza Ugomvi na wewe...unamkwepa wapi...lazima akutafute kwa shari...
haya maumivu makali sana