miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,011
- 3,708
Nikikuuliza unanipliz kuwa ulikuwa bze wakat nakupigia.....nikikuomba hela unatoa.Ntakung'ang'ania daima
Kuna wanawake wengine ving'ang'anizi sana hata umfanyeje bado anaendelea kusumbua. Hata kama huambiwi wazi kua umeachwa au mtu hakutaki dalili huoni uache kusumbua watu. unapiga simu wiki nzima haipokelewi,unatuma txt hazijibiwi,unabadili simu bado unapuuzwa lakini bado huachi kusumbua. Hata kama kusoma hujui hata macho huna?picha huoni? Tujufunze kusoma dalili mbaya na tuchukue hatua.
are you you?
Kuna wanawake wengine ving'ang'anizi sana hata umfanyeje bado anaendelea kusumbua. Hata kama huambiwi wazi kua umeachwa au mtu hakutaki dalili huoni uache kusumbua watu. unapiga simu wiki nzima haipokelewi,unatuma txt hazijibiwi,unabadili simu bado unapuuzwa lakini bado huachi kusumbua. Hata kama kusoma hujui hata macho huna?picha huoni? Tujufunze kusoma dalili mbaya na tuchukue hatua.
Huu ni udhaifu! Mwanaume anayeamini katika maamuzi yake hasiti kuyaweka bayana.Sina utaratibu wa kumuacha mtu kwa kumwambia,kuna sababu nyingi za kufanya hivyo
haya maumivu makali sana
Umeona...japo niliumia ila nashukuru uliniambia ukweli
umeona nakupendea hapo ukampa tena uso kwa uso mfano wa kuigwa wewe lol
Na ulivyomwelewa lazima nicome back maana siku hizi sisumbuliwi kama we ulivyokuwa unanifanyia