Mnabadilisha kwa ajili lisu.mnatamani hata afe leo.This might be true na inawezekana aliyemponza Lissu ni bandiko hili
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali tuu, Ili uchaguzi wa 2020 usiwe ni igizo tuu la uchaguzi, Je tumchagize na kushinikiza Tundu Lissu ndiye asimamishwe na upinzani kumkabili John P. Magufuli? kwa sababu mpaka sasa, Tundu Lissu ndie mwanasiasa pekee wa upinzani ambaye so far, ameonyesha ana...www.jamiiforums.com
It's very unfortunately Lissu hawezi kugombea tena, sheria ya kugombea urais imeishabadilishwa hapa juzi kati kuwa mgombea urais lazima awe ameishi nchini kwa miezi 18 prior to tarehe ya Uchaguzi ujao. Hivyo Lissu is out.
P