Kuna vivutio gani mkoa wa Mara?

Kuna vivutio gani mkoa wa Mara?

Hahahaa nimecheka balaa, mkuu kwakuwa bado una wiki moja vuta subira machimbo ya pisi kali utayajua tu.

Kwa sasa unaweza enda Gold Land Hotel hii ipo Nyamongo road upande wa kulia kama unaelekea wilaya ya Nyamwaga. Ama ulizia wenyeji watakufahamisha kwa urahisi zaidi, hapo unaweza kutana na pisi kali za kutoka mikoa mingine tofauti na hapo.

Pia kuna Restaurant moja jina limenitoka ila ipo mkabala na benki ya NMB pale kulikuwa na wahudu pisi sana sijajua kwa sasa jaribu kutembelea uone, jengo hilo hilo kuna Barber Shop hapo pia kuna pisi huwa zinatoka Mwanza kuja kutoa huduma hapo.

Mkuu kama wikiendi unakuwa huru unaweza enda ata huko mpakani Sirari ama ukaingia ata Kenya kwenyewe ukaenda mpaka Migori ama Kisii huko.

Hahahaaaa hakuna kitu bro. Nimekutana na pisi mbovu sijawahi pata kuona maisha yangu yote TZ nzima
 

vivutio vya mkoa wa Mara :-​

1. Mto Mara wenye vinyesi vya ng’ombe​

2.wakurya ni weusi na sura kali​

3. Kuna mgodi wa dhahabu umezingushiwa ukuta mkubwa ila wakurya wanauruka kuingia mgodini.​

5. Kuna Butiama eneo lisilokuwa tangu 1961​

6. Kuna wanawake wengi walio keketwa​

Kuna mtu anagawa majiko ya gas
 
Naomba nipewe maelekezo na wazoefu wa huo mkoa. Kuna mission hivi karibuni naenda kuifanya huko itanichukua miaka miwili nikipambana na hizo projects hasa wilayani Tarime.

Bahati mbaya story pekee nazozipata kuhusu huo mkoa ni ukorofi, ubabe na kupigana mapanga. Anaejua vivutio vyovyote vya huko, sehemu za bata n.k anipe muongozo.

Uzi tayari.

Sent from simu ya kuazima

Kuwa na amani nenda kafanye kazi
Kikubwa usilete ujuaji na dharau kwa watu wa huko.
Ishi kiungwana tu uachane na majungu mtaenda nao sawa
 
Kuwa na amani nenda kafanye kazi
Kikubwa usilete ujuaji na dharau kwa watu wa huko.
Ishi kiungwana tu uachane na majungu mtaenda nao sawa
Hiyo ipo sehem yoyote. Ukijifanya much know unapotea
 
Hahahaa nimecheka balaa, mkuu kwakuwa bado una wiki moja vuta subira machimbo ya pisi kali utayajua tu.

Kwa sasa unaweza enda Gold Land Hotel hii ipo Nyamongo road upande wa kulia kama unaelekea wilaya ya Nyamwaga. Ama ulizia wenyeji watakufahamisha kwa urahisi zaidi, hapo unaweza kutana na pisi kali za kutoka mikoa mingine tofauti na hapo.

Pia kuna Restaurant moja jina limenitoka ila ipo mkabala na benki ya NMB pale kulikuwa na wahudu pisi sana sijajua kwa sasa jaribu kutembelea uone, jengo hilo hilo kuna Barber Shop hapo pia kuna pisi huwa zinatoka Mwanza kuja kutoa huduma hapo.

Mkuu kama wikiendi unakuwa huru unaweza enda ata huko mpakani Sirari ama ukaingia ata Kenya kwenyewe ukaenda mpaka Migori ama Kisii huko.
Mkuu nahisi kumebadilika tofauti na ulivyotembelea ulivyofika. Nimefanya skimming ya fasta fasta kona zote pisi za kuvutia hakuna boss wangu. Hapa nimeshaji-tune kisaikolojia, ntakua weekend nikipata nafasi naenda kutalii Mwanza town maana ni safari ya masaa matatu mpaka manne tu kutoka huku ofcuz na wazo la kutalii mpakani huko sio baya ntalizingatia kabisa hilo
 
Wakuu nitoe shukrani kwa michango yenu. Nimesharipoti mkoa wa Mara, na sasa nina wiki tangu nifike hapa Tarime.

Kiukweli yote mliyonipa tahadhari nimeyazingatia kwa umakini. Mengi nimeweza kuyafaham kwa hii wiki moja niliyokaa hapa na mengi zaidi nitayajua kwa kadri siku zitakavyoenda panapo majaaliwa.

Wakazi wa huku ni wakarimu ila ni wenye hofu sana na wageni (sijajua ni kwanini). Lodge nyingi nilizokaa nimekua nikihojiwa maswali kuhusu uraia na napotokea nahisi kwavile mimi ni shombe shombe ( jambo ambalo sikulizoea)

Kuhusu sehem za kula bata aisee huku ni kama hakuna. Bado wako nyuma sana. Hakuna pisi kali kabisa. Hapa nikiri tu ukizoea kukaa dar unaweza usione mwanamke wa kutongoza huku. Pisi zilizopo ni zile sura personal tu na zinaongea kibabe , halafu unakuta vijana wanababaika nazo hatari. Nimeshangaa sana.

All in all sina budi kupambana na hali yangu ndani ya huu mwaka mzima mpaka project yangu itakapoisha hatimae nirudi ktk mji niliouzoea. Nitangulize shukrani za dhati sana
Kwahyo mpka sasa hujapiga tu
 
Mkuu nahisi kumebadilika tofauti na ulivyotembelea ulivyofika. Nimefanya skimming ya fasta fasta kona zote pisi za kuvutia hakuna boss wangu. Hapa nimeshaji-tune kisaikolojia, ntakua weekend nikipata nafasi naenda kutalii Mwanza town maana ni safari ya masaa matatu mpaka manne tu kutoka huku ofcuz na wazo la kutalii mpakani huko sio baya ntalizingatia kabisa hilo
Naomb connection ya volunteer apo ngo
 
Naomb connection ya volunteer apo ngo
Oh upo maeneo ya karibu na Tarime? Currently there are two vacant positions kwa kada ya afya. Sijui upo kada ipi? Or you can just PM nijue nakuwekaje hapa...
 
Tatizo wanakuaga sio wagumba mzee
Kuwa makini sana na watu wa mara haswa wanawake wao sio wazaramo wa kelele lakini ukiingia anga zao vyovyote vile watakushughulikia hua awaongei ni vitendo tu wakikuendea kwa wajaluo utaend kigoma kutafuta suluhisho sikutishi but nakupa hint za watu wangu wa mara
 
Kuwa makini sana na watu wa mara haswa wanawake wao sio wazaramo wa kelele lakini ukiingia anga zao vyovyote vile watakushughulikia hua awaongei ni vitendo tu wakikuendea kwa wajaluo utaend kigoma kutafuta suluhisho sikutishi but nakupa hint za watu wangu wa mara
Hahahaaa niko makini mzee ktk hilo.. Sigusi mtoto wa mtu huku
 
Back
Top Bottom