Kuna vivutio gani mkoa wa Mara?

Kuna vivutio gani mkoa wa Mara?

vivutio vya mkoa wa Mara :-​

1. Mto Mara wenye vinyesi vya ng’ombe​

2.wakurya ni weusi na sura kali​

3. Kuna mgodi wa dhahabu umezingushiwa ukuta mkubwa ila wakurya wanauruka kuingia mgodini.​

5. Kuna Butiama eneo lisilokuwa tangu 1961​

6. Kuna wanawake wengi walio keketwa​

Mzee hakuna mazuri yoyote huko maana naona umeelezea vyote in a negative way
 
Sasa unaingia mkoa wa Mara! Jamaa ni wakorofi wa asili ngumi visu nje nje! Wana wivu hatare! Usiwazoee mno wapee distance! Ukitoka let's say ukiwa bar jitahidi kukwepa makundi! So and so forth.
 
Wakuu nitoe shukrani kwa michango yenu. Nimesharipoti mkoa wa Mara, na sasa nina wiki tangu nifike hapa Tarime.

Kiukweli yote mliyonipa tahadhari nimeyazingatia kwa umakini. Mengi nimeweza kuyafaham kwa hii wiki moja niliyokaa hapa na mengi zaidi nitayajua kwa kadri siku zitakavyoenda panapo majaaliwa.

Wakazi wa huku ni wakarimu ila ni wenye hofu sana na wageni (sijajua ni kwanini). Lodge nyingi nilizokaa nimekua nikihojiwa maswali kuhusu uraia na napotokea nahisi kwavile mimi ni shombe shombe ( jambo ambalo sikulizoea)

Kuhusu sehem za kula bata aisee huku ni kama hakuna. Bado wako nyuma sana. Hakuna pisi kali kabisa. Hapa nikiri tu ukizoea kukaa dar unaweza usione mwanamke wa kutongoza huku. Pisi zilizopo ni zile sura personal tu na zinaongea kibabe , halafu unakuta vijana wanababaika nazo hatari. Nimeshangaa sana.

All in all sina budi kupambana na hali yangu ndani ya huu mwaka mzima mpaka project yangu itakapoisha hatimae nirudi ktk mji niliouzoea. Nitangulize shukrani za dhati sana
 
Tarime sio lelemama ndio maana hata kipolisi imefanya ni kanda maalumu kwamba ni wilaya ambayo kipolisi inasimamiwa kama mkoa ina RPC.
Kimsingi ukiwa huko acha mbwembwe hususani mambo ya bata za mitaani
Kafanye yaliyokupeleka huko epuka sana kutembea usiku.
Nakishauri tafuta TV na movies za kutosha bata fanyia nyumbani kwako.
Halafu epuka sana wake za watu ,mademu wa watu na wanafunzi lasivyo hawatachelewa kukugecha watu wa huko hawana masikhara kabisa.
Ukifata ushauri wangu utarudi salama na utarudi na pesa. Huko Tarime hata Musoma hakuna starehe yeyote
Ukitaka starehe uwe unakwenda Mwanza Mjini
Bora kutembea na mke wa mtu lakini sio binti wa mtu,utatahiriwa kwa mara ya pili
 
Naomba nipewe maelekezo na wazoefu wa huo mkoa. Kuna mission hivi karibuni naenda kuifanya huko itanichukua miaka miwili nikipambana na hizo projects hasa wilayani Tarime.

Bahati mbaya story pekee nazozipata kuhusu huo mkoa ni ukorofi, ubabe na kupigana mapanga. Anaejua vivutio vyovyote vya huko, sehemu za bata n.k anipe muongozo.

Uzi tayari.

Sent from simu ya kuazima
Serengeti national park japo wengi wanadhani ipo arusha
 
Kuna mchongo nimedaka wa NGO boss, nahisi nitakua kule miaka miwili hivi.

Umeshawahi kuishi Tarime mkuu?

Sent from simu ya kuazima
Tarime ndiyo wilaya pekee ktk mkoa wa Mara iliyochangamka! Watu wa Tarime ni wachapa kazi na wafanya biashara wazuri sana. Pia ni wachangamfu na wakarimu sana. Kuna fursa za madini hasa dhahabu. Ardhi yake ina rutuba sana hivyo kilimo kinakubali sana. Changamana nao vizuri hutojutia. Hakikisha unakuwa mtu wa haki, acha dhuluma na ghiriba. Hakikisha unajiweka pembeni na wake za watu vinginevyo ubabe wa Wakurya utauona.
 
Naomba nipewe maelekezo na wazoefu wa huo mkoa. Kuna mission hivi karibuni naenda kuifanya huko itanichukua miaka miwili nikipambana na hizo projects hasa wilayani Tarime.

Bahati mbaya story pekee nazozipata kuhusu huo mkoa ni ukorofi, ubabe na kupigana mapanga. Anaejua vivutio vyovyote vya huko, sehemu za bata n.k anipe muongozo.

Uzi tayari.

Sent from simu ya kuazima
Ziwa Victoria na visiwa vyake vingi vingi tu
 
Unaweza kuacha wazi gari ama nyumba ikiwa na fedha na watu wasishughulike navyo vyote,hii ni kawaida sana, kosa wasikie kuwa una mawe ya dhahabu ndani! Ni very risky kwa maisha yako ndugu. Kuwa na jiwe la dhahabu ni kama kuwa na nyara ya serikali! Roho mkononi!
 
Tarime ndiyo wilaya pekee ktk mkoa wa Mara iliyochangamka! Watu wa Tarime ni wachapa kazi na wafanya biashara wazuri sana. Pia ni wachangamfu na wakarimu sana. Kuna fursa za madini hasa dhahabu. Ardhi yake ina rutuba sana hivyo kilimo kinakubali sana. Changamana nao vizuri hutojutia. Hakikisha unakuwa mtu wa haki, acha dhuluma na ghiriba. Hakikisha unajiweka pembeni na wake za watu vinginevyo ubabe wa Wakurya utauona.
Duh kama ndio wilaya iliyochangamka inakua hivi. Sipati picha huko palikopoa pakoje . Yes fursa zipo nyingi, unaweza buni kitu kipya huku ukapiga ela ndefu sana nimeona hilo
 
Back
Top Bottom