GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,034
- 126,504
Vivutio Vikuu ni kama vifuatavyo....Naomba nipewe maelekezo na wazoefu wa huo mkoa. Kuna mission hivi karibuni naenda kuifanya huko itanichukua miaka miwili nikipambana na hizo projects hasa wilayani Tarime.
Bahati mbaya story pekee nazozipata kuhusu huo mkoa ni ukorofi, ubabe na kupigana mapanga. Anaejua vivutio vyovyote vya huko, sehemu za bata n.k anipe muongozo.
Uzi tayari.
Sent from simu ya kuazima
1. Ukarimu
2. Upendo
3. Ustaarabu
4. Utu
5. Akili
6. Mahaba
7. Huruma


