Kuna vivutio gani mkoa wa Mara?

Kuna vivutio gani mkoa wa Mara?

Mr Kactus

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2021
Posts
510
Reaction score
2,970
Naomba nipewe maelekezo na wazoefu wa huo mkoa. Kuna mission hivi karibuni naenda kuifanya huko itanichukua miaka miwili nikipambana na hizo projects hasa wilayani Tarime.

Bahati mbaya story pekee nazozipata kuhusu huo mkoa ni ukorofi, ubabe na kupigana mapanga. Anaejua vivutio vyovyote vya huko, sehemu za bata n.k anipe muongozo.

Uzi tayari.

Sent from simu ya kuazima
 
Naomba nipewe maelekezo na wazoefu wa huo mkoa. Kuna mission hivi karibuni naenda kuifanya huko itanichukua miaka miwili nikipambana na hizo projects hasa wilayani Tarime.

Bahati mbaya story pekee nazozipata kuhusu huo mkoa ni ukorofi, ubabe na kupigana mapanga. Anaejua vivutio vyovyote vya huko, sehem za bata n.k anipe muongozo.

Uzi tayari.

Sent from simu ya kuazima
Yani ukienda usipende kukaa sehem za mabaa au glossary, usishoboke na mwanamke yyte utaekutana nae.. Tumia muda wako kazini na nyumbani, usiingilie ugomvi wowote ule....... Usijionyeshe kua unapesa..... Tofauti na hvo utarudi mkoani kwako ukiwa na ngeo au hauna mkono
 
Yani ukienda usipende kukaa sehem za mabaa au glossary, usishoboke na mwanamke yyte utaekutana nae.. Tumia muda wako kazini na nyumbani, usiingilie ugomvi wowote ule....... Usijionyeshe kua unapesa..... Tofauti na hvo utarudi mkoani kwako ukiwa na ngeo au hauna mkono
Route zangu ni kazini na nyumbani. Hapo kutokujionyesha kama nina pesa ndio vipi? Nisiwe nakula na kuvaa vizuri? Nisimiliki gari nzuri ama?

Sent from simu ya kuazima
 
Naomba nipewe maelekezo na wazoefu wa huo mkoa. Kuna mission hivi karibuni naenda kuifanya huko itanichukua miaka miwili nikipambana na hizo projects hasa wilayani Tarime.

Bahati mbaya story pekee nazozipata kuhusu huo mkoa ni ukorofi, ubabe na kupigana mapanga. Anaejua vivutio vyovyote vya huko, sehem za bata n.k anipe muongozo.

Uzi tayari.

Sent from simu ya kuazima
Karibu sana mara, niulize kuhusu mara
 
Mkuu umeramba ajira Tamisemi nini?

Any way Asikuambie mtu watu wa mara hawana mabaya wamestarabika sana siku hizi..!
Kuna mchongo nimedaka wa NGO boss, nahisi nitakua kule miaka miwili hivi.

Umeshawahi kuishi Tarime mkuu?

Sent from simu ya kuazima
 
Yani ukienda usipende kukaa sehem za mabaa au glossary, usishoboke na mwanamke yyte utaekutana nae.. Tumia muda wako kazini na nyumbani, usiingilie ugomvi wowote ule....... Usijionyeshe kua unapesa..... Tofauti na hvo utarudi mkoani kwako ukiwa na ngeo au hauna mkono
Grocery sio glossary mkuu dah.
 
Naomba nipewe maelekezo na wazoefu wa huo mkoa. Kuna mission hivi karibuni naenda kuifanya huko itanichukua miaka miwili nikipambana na hizo projects hasa wilayani Tarime.

Bahati mbaya story pekee nazozipata kuhusu huo mkoa ni ukorofi, ubabe na kupigana mapanga. Anaejua vivutio vyovyote vya huko, sehemu za bata n.k anipe muongozo.

Uzi tayari.

Sent from simu ya kuazima

vivutio vya mkoa wa Mara

vivutio vya mkoa wa Mara :-​

1. Mto Mara wenye vinyesi vya ng’ombe​

2.wakurya ni weusi na sura kali​

3. Kuna mgodi wa dhahabu umezingushiwa ukuta mkubwa ila wakurya wanauruka kuingia mgodini.​

5. Kuna Butiama eneo lisilokuwa tangu 1961​

6. Kuna wanawake wengi walio keketwa​

 

vivutio vya mkoa wa Mara :-​

1. Mto Mara wenye vinyesi vya ng’ombe​

2.wakurya ni weusi na sura kali​

3. Kuna mgodi wa dhahabu umezingushiwa ukuta mkubwa ila wakurya wanauruka kuingia mgodini.​

5. Kuna Butiama eneo lisilokuwa tangu 1961​

6. Kuna wanawake wengi walio keketwa​

Wewe murisyaaa kabisa unafaaa ukakeketwe ili tabia za kike kike zikutoke ufikirie vitu Critical
 
Back
Top Bottom