NaughtyGuy
JF-Expert Member
- Nov 10, 2017
- 1,747
- 1,943
Tatizo ukinyoa leo zinarudi kesho tena kwa wingi wa mafuriko
Hahahahahhaa looh nimejiuliza tuu chemchem ya hizo nywele imeanzia chini au kidevuni looh
Maana ziko kama ukanda hehehehehehe hatareee.
kama mbuga za wanyama mikumiHata kama zimezidi ndo maumbile hatufanani mbona dudu zikizidi mnapenda hizo ziwe kinyaa hapana bhana![]()
![]()
![]()

Hakyanani vile moyo wangu ndo ushaacha kazi uloitiwa ya kusukuma damu umekudondokea(in sukuma tongue) Niko tayari kuagiza mamlaka za ndani zijenge ukuta kuzunguka moyo wangu kisha waweke gate wang'oe kitasa kabisa ukija wakutobolee uingie na viatu vyako moyoni...huu upweke huu daah!Horseshoe acha basi mambo yakoo
sema naskia(ga) wenye manyoya hivyo hawapatwa(gi) kale kaugonjwa ketu pendwa maana virusi wakija wanaishia kwenye manyoya!

na wanaongoza kwa kupata fangasi na magonjwa ya ngozi mana bacteria wanajificha kwenye nyweleAcha kupotosha buana God is Great Architect! Kuacha manyoya hakukosea usanifu!![]()
![]()
![]()
![]()
na wanaongoza kwa kupata fangasi na magonjwa ya ngozi mana bacteria wanajificha kwenye nywele
mapenzi teleStaki kuamini nmeyaona mapenziView attachment 745607
Mapenzi uchafu. Ukiona uchafu popote ulipo umeyaona mapenzi
Zimeunganika hadi kwapanianaudhii
Kwani una uhakika hayo ni magumu?Yaan jamani bora hata yangekuwa malaini au yakawa machache mi yananitia kinyaa
Halafu huyu ni Mgosi....bisha!
Hiyo mdumange hiyo...amekosa tu kigoli mzuri hapoNa hiyo ngoma anayocheza ni mdumange au...... hehehehehhee
HahahahaZitakuwa na mgongoni na miguuni lol
acheni unyanyapaa bwana.
Mvua za dar zinakusumbua eeHakyanani vile moyo wangu ndo ushaacha kazi uloitiwa ya kusukuma damu umekudondokea(in sukuma tongue) Niko tayari kuagiza mamlaka za ndani zijenge ukuta kuzunguka moyo wangu kisha waweke gate wang'oe kitasa kabisa ukija wakutobolee uingie na viatu vyako moyoni...huu upweke huu daah!