NaughtyGuy
JF-Expert Member
- Nov 10, 2017
- 1,747
- 1,944
Tatizo ukinyoa leo zinarudi kesho tena kwa wingi wa mafuriko
[emoji41][emoji41][emoji41]Nasubiri
[emoji23][emoji41][emoji41][emoji41]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kama mbuga za wanyama mikumiHahahahahhaa looh nimejiuliza tuu chemchem ya hizo nywele imeanzia chini au kidevuni looh
Maana ziko kama ukanda hehehehehehe hatareee.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hata kama zimezidi ndo maumbile hatufanani mbona dudu zikizidi mnapenda hizo ziwe kinyaa hapana bhana[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hakyanani vile moyo wangu ndo ushaacha kazi uloitiwa ya kusukuma damu umekudondokea(in sukuma tongue) Niko tayari kuagiza mamlaka za ndani zijenge ukuta kuzunguka moyo wangu kisha waweke gate wang'oe kitasa kabisa ukija wakutobolee uingie na viatu vyako moyoni...huu upweke huu daah!Horseshoe acha basi mambo yakoo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] na wanaongoza kwa kupata fangasi na magonjwa ya ngozi mana bacteria wanajificha kwenye nywelesema naskia(ga) wenye manyoya hivyo hawapatwa(gi) kale kaugonjwa ketu pendwa maana virusi wakija wanaishia kwenye manyoya!
Acha kupotosha buana God is Great Architect! Kuacha manyoya hakukosea usanifu![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] na wanaongoza kwa kupata fangasi na magonjwa ya ngozi mana bacteria wanajificha kwenye nywele
mapenzi teleStaki kuamini nmeyaona mapenziView attachment 745607
Mapenzi uchafu. Ukiona uchafu popote ulipo umeyaona mapenzi
Zimeunganika hadi kwapani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anaudhii
Kwani una uhakika hayo ni magumu?Yaan jamani bora hata yangekuwa malaini au yakawa machache mi yananitia kinyaa
Halafu huyu ni Mgosi....bisha!
Hiyo mdumange hiyo...amekosa tu kigoli mzuri hapoNa hiyo ngoma anayocheza ni mdumange au...... hehehehehhee
HahahahaZitakuwa na mgongoni na miguuni lol
acheni unyanyapaa bwana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na hiyo ngoma anayocheza ni mdumange au...... hehehehehhee
Mvua za dar zinakusumbua eeHakyanani vile moyo wangu ndo ushaacha kazi uloitiwa ya kusukuma damu umekudondokea(in sukuma tongue) Niko tayari kuagiza mamlaka za ndani zijenge ukuta kuzunguka moyo wangu kisha waweke gate wang'oe kitasa kabisa ukija wakutobolee uingie na viatu vyako moyoni...huu upweke huu daah!