Kuna vitu vinatia kinyaa

Kuna vitu vinatia kinyaa

Siku moja nilikuwa naelekea Makumbusho nikitokeaTegeta,njiani nakumbuka alipanda Tozi mmoja mpaka abiria wote walishangaa...jamaa alikuwa amevaa T-shirt kama ya Ali Kiba ( itazame picha aliypiga Ali Kiba,Kikwete na Ommy Dmpoz) halafu hapo katkati ya kifua ( the part of a chest that was uncovered) palikuwa pamejaa unywele hatar tupu...halafu jamaa hana hata wasiwasi na amezkuza kwa dawa ni ndefu na nyeusi hatar!
Kwahyo hadithi yako inafundisha nn
 
Back
Top Bottom