Kuna vitu vinatia kinyaa

Kuna vitu vinatia kinyaa

Kuna mtu nae anachukia mikucha yako ya vidole kama jini na vinywele vyako vya kwapani.....sema hakwambii tu.!!!!
 
Mimi kwa kuwa sasa hivi hela zangu nimemuazima baba naniliu akakombolee bombadier....acha tu nimshtue kaka mond anishikie kijiti hadi mambo yakae sawa nije nikuchukue tukale maisha...
Horseshoe acha basi mambo yakoo
 
Back
Top Bottom