Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,341
- 51,907
Kwema Wakuu!
Kwa jinsi mambo yalivyo ninawasiwasi mkubwa kuwa Hamas sio vile wengi tujuavyo. Wengi tunajua Hamas ni kundi la kiharakati la kupigania haki za Wapalestina ikiwemo haki za kukataa Ukoloni wa Wayahudi katika Ardhi yao. Kwa nje inaonekana hivyo lakini ukichunguza ndani unaona kitu kingine cha tofauti.
Mbinu wanazotumia Hamas haziendani na malengo na mipango yao. Mipango na malengo ya Hamas mikuu ni kuchukua ardhi yao inayokaliwa na wayahudi. Kutetea haki za Wapalestina dhidi ya Wayahudi. Kumbuka haki namba moja ya mwanadamu ni Haki ya kuishi.
Katika mikakati na harakati za kupambana na Wayahudi ni lazima walinde Haki ya Wapalestina, ndugu zao hasa haki kuu ya kuishi.
Tangu kundi hili lianzishwe hakuna mafanikio yoyote yaliyopatikana katika harakati zao. Zaidi ninaona kama ndio wanawasaidia Wayahudi kutimiza malengo yao.
Ukiangalia tukio la 7 October, Kwa jicho la ndani utagundua pasi na shaka kuwa lile tukio ni mpango wa Wazayuni kuendelea kutimiza mipango yao ovu ya kuchukua na kudhorotesha haki za Wapalestina.
Naamini kwa asilimia 90% kuwa Hamas ni kundi la Kizayuni. Ingawaje wengine watabisha lakini kama wakitumia jicho la ndani watagundua kile nikisemacho.
Yaani Hamas waliowaarabu wanajua kabisa wakianzisha vita na Wayahudi zama za leo watashindwa, na watasababisha madhara makubwa kwenye jamii na nchi yao alafu waanzishe vita. Sidhani kama Wapalestina ni wajinga kwa kiwango hicho. Hata wanyama hawawezi kuanzisha vita wanaojua kabisa watashindwa na kusababisha maafa kwa familia zao.
Hamas ni kundi maalum lililoanzishwa na Wazayuni. Kutokana na namna wanavyojaribu kupambana.
Mbinu wanazotumia zitumia zote zimelenga kuwadhuru wao wenyewe kwa asilimia 100% hivi kweli hapo huoni kuna tatizo.
Iran yupo Smart. Anajua kabisa yeye kwa muda huu bado hana uwezo wa kupambana na Wayahudi na Magharibi. Hivyo hatakuwa tayari kuanzisha kile ambacho hataweza kukimaliza na ambacho kitamdhuru yeye mwenyewe na kumrudisha nyuma miaka mia.
Poleni sana Palestina. Hamas wamewasaliti.
Kwa jinsi mambo yalivyo ninawasiwasi mkubwa kuwa Hamas sio vile wengi tujuavyo. Wengi tunajua Hamas ni kundi la kiharakati la kupigania haki za Wapalestina ikiwemo haki za kukataa Ukoloni wa Wayahudi katika Ardhi yao. Kwa nje inaonekana hivyo lakini ukichunguza ndani unaona kitu kingine cha tofauti.
Mbinu wanazotumia Hamas haziendani na malengo na mipango yao. Mipango na malengo ya Hamas mikuu ni kuchukua ardhi yao inayokaliwa na wayahudi. Kutetea haki za Wapalestina dhidi ya Wayahudi. Kumbuka haki namba moja ya mwanadamu ni Haki ya kuishi.
Katika mikakati na harakati za kupambana na Wayahudi ni lazima walinde Haki ya Wapalestina, ndugu zao hasa haki kuu ya kuishi.
Tangu kundi hili lianzishwe hakuna mafanikio yoyote yaliyopatikana katika harakati zao. Zaidi ninaona kama ndio wanawasaidia Wayahudi kutimiza malengo yao.
Ukiangalia tukio la 7 October, Kwa jicho la ndani utagundua pasi na shaka kuwa lile tukio ni mpango wa Wazayuni kuendelea kutimiza mipango yao ovu ya kuchukua na kudhorotesha haki za Wapalestina.
Naamini kwa asilimia 90% kuwa Hamas ni kundi la Kizayuni. Ingawaje wengine watabisha lakini kama wakitumia jicho la ndani watagundua kile nikisemacho.
Yaani Hamas waliowaarabu wanajua kabisa wakianzisha vita na Wayahudi zama za leo watashindwa, na watasababisha madhara makubwa kwenye jamii na nchi yao alafu waanzishe vita. Sidhani kama Wapalestina ni wajinga kwa kiwango hicho. Hata wanyama hawawezi kuanzisha vita wanaojua kabisa watashindwa na kusababisha maafa kwa familia zao.
Hamas ni kundi maalum lililoanzishwa na Wazayuni. Kutokana na namna wanavyojaribu kupambana.
Mbinu wanazotumia zitumia zote zimelenga kuwadhuru wao wenyewe kwa asilimia 100% hivi kweli hapo huoni kuna tatizo.
Iran yupo Smart. Anajua kabisa yeye kwa muda huu bado hana uwezo wa kupambana na Wayahudi na Magharibi. Hivyo hatakuwa tayari kuanzisha kile ambacho hataweza kukimaliza na ambacho kitamdhuru yeye mwenyewe na kumrudisha nyuma miaka mia.
Poleni sana Palestina. Hamas wamewasaliti.