Kuna ulazima dhana ya "Human Evolution" ifutwe shule ya msingi hadi form six

Kuna ulazima dhana ya "Human Evolution" ifutwe shule ya msingi hadi form six

ngoja nipate, pumziko nikirudi nilaleta changamoto zaidi...
nitajitahiti kujibu na kutoa maoni yangu katika post #96 ya Al-Watan
Ila kwangu naamini Wanasayansi ambao wanaamini Uwepo wa Mungu wanacompetitive advantage ya kuexcel zaidi kuliko wale wanaoamini mambo ya kufikirika yasiyo na mashiko.
Sayansi inataka kujua, haitaki kuamini.

Kama sayansi ingetaka kuamini, kusingekuwa na experiments.

Katika sayansi, imani inatakiwa kufutwa na pahali pake uwepo ujuzi.Kwa uthibitisho na experiments.

Ndiyo maana nikakuuliza unaweza kuthibitisha Mungu yupo?

Hujathibitisha bado.

Mwanasayansi anayeamini Mungu ukimuuliza Mungu katokeaje atajibu vipi?
 
vitu vingine unatumia na Common Sense ambayo mwanadamu amekuwa nayo hata kabla ya hizo methodology.

Unajua hata kusema jiwe hili ni Kilo moja ilikuwa ni makubaliano ya watu tu huko ufaransa 1795, lakini leo hii imekuwa agreed grobal fact na watu wa kada zote.

tujifunze mambo kutoka katika angle zote. sio kwa njia ambazo tayari zimebuniwa na wadau wachache na kuwa kama miongozo yako ya uelewa. Tunaanzia hapo na kuexplore facts zaidi...
You know whats funny,unaongea kuhusu science and we should keep an open mind.....which I agree with you,we should be skeptic and judge the evidence.....but on whether evolution is true of false,hilo limeshapita kitambo sana

Alot of evidence is our there,which makes hard to deny,hata viongozi wa dini wanakubaliana na hili watu kama Pope Francis and Late Pope John.....ambao Wana organizations zinazosoma science kama other secular organizations,WANAKUBALI EVOLUTION IS A TRUE SCIENTIFIC FACT.

But unafanya hili kwenye hiyo dini unayoamini....KUWA SKEPTIC KWENYE ISSUE ZA DINI YAKO,UNAYOAMINI!!!?

Coz hakuna evidence yoyote kama binadamu ameubwa au kulikuwa na Adam na Eve,unatumia faith.......which is just blind belief,kuamini mythological stories as facts is a grave mistake or kuamini something because it suits your common belief or it makes sense,it's a grave mistake(Mifano tunayo,tafuta story ya Einstein alivyofanya mistake ya kutokubali quantum mechanics because it didn't make sense in his mind)
 
Hii thana ni nzuri sana lakini tuelewe kitu kimoja evolution haiwezi kutake place pakuche asubui jioni evolution itake place it take million of years kitu kichange

Inachukua millions of years?

Who's counting? And how many millions? When is year one? When is year 500,000? When is year 1,000,000?

Nani huwa observe kwa muda wote huo?

Hiyo evolution theory haishawishi kabisa.
 
mwambie tena kifaa cha kupimia kimewahi kutoa majibu ya ajabu sana sehemu nyingi duniani ila wanaficha ili kuulinda ujanjaujanja huo.
Kinachowapa nguvu ni kwa sababu wanauhakika hakuna anaejua birthday ya Ulimwengu.
huwezi kujua umri wa kitu bila kujua au kukadilia birthday yake ili upate pa kuanzia kuhesabu.
Ndio maana leo ukimficha umri wako ukamwambia akupime na hizo walizogundulia dunia inamiaka million sijui nne utakutwa na miaka hata 23450000 wakati kumbe wakati mwingine mtu ni under 18(mfano).

Sasa kama hadi leo hakuna kifaa cha kupima umri wa mtu wa kawaida tu wanabashiri, unaanzia wapi kuamini kipimo kinachobashiri matukio ya miaka millions iliyopita.

hapo ndio mwanzo wa watu kufikiri nje ya madaftari.
Sorry so studies zimefanyika universities tofauti duniani,zikaleta results tofauti,kuhusu radioactivity!!!?

Una hizo studies!!!?hebu leta tuzisome wote pamoja hapa.........
 
ngoja nipate, pumziko nikirudi nilaleta changamoto zaidi...
nitajitahiti kujibu na kutoa maoni yangu katika post #96 ya Al-Watan
Ila kwangu naamini Wanasayansi ambao wanaamini Uwepo wa Mungu wanacompetitive advantage ya kuexcel zaidi kuliko wale wanaoamini mambo ya kufikirika yasiyo na mashiko.
"kwangu naamini wanasayansi wanaamini kuna mungu wana'competitive advantage kuliko wanasayansi wasioamini kuna Mungu"

Again you are entitled to your own opinion not to your own facts

List ni ndefu sana ya wanasayansi kibao waliofanya mazuri makubwa katika hii dunia bila kuamini kuna Mungu,

e.g Albert Einstein(He didn't believe in Judeo-Christian God,He found the idea to silly and childish he said he believe in pantheistic kind of god like philosopher Spinoza),Marie Curie,Niels Bohr,Francis Crick,James Watson,Steven Weinberg,Peter Higgs and the list goes on and on

Btw hao niliowataja hapo juu wote wameibadili dunia kwa mavumbuzi yao na walikuwa atheists,so point yako haina nguvu

Science inafanywa na wote, wanaamini kuna Mungu na wasioamini kama kuna Mungu,coz kinachohitajika kwenye kufanya science ni METHODOLOGY SIO IMANI......IMANI YAKO NI IRREVERENT ON SCIENTIFIC ARENA

List of atheists in science and technology - Wikipedia
 
Kuna Scientific Evidence ya kutosha kwamba evolution ni kweli.
Molecular Evidence, Paleontological Evidence and so forth.

Jifunze fossil records, genetics, epigenetics utambue kuna evidence ya kutosha kuhusu Evolution.

Elimu ya dini sio Elimu ya kisayansi na haina lolote la kusema juu ya sayansi,hata Papa John and Francis wanakubaliana na hili,mambo haya yasichanganywe.

Watoto wafundishwe mapema kujua which is scientific and which are myths.

Btw ukitaka kufundisha dini na sayansi wakati mmoja,unaweza tu ukaanza kufundisha alchemy na chemistry wakati mmoja,ukidai vyote vina evidence sawa,while sio kweli kabisa.
Evolution ni imani kama imani zingine
Tatizo ni ninyi mliokaririshwa hizo unazotaka kutumia kama evidence kulinda muda uliopoteza kukariri.
Kuna maswali lukuki evolutions believer hawana majibu

Wapi tutapata binadam ambaye yuko half way kuelekea ubinadam
Wapi tutaona fossils za chui ambaye hajakamilika au simba aliyenjiani kufikia usimba halisi.
Evolution ilikoma au bado inaendelea,
Kama kuna evolution ni katika jamii husika lakini sio kutoka jamii nyingine na kuwa nyingine

Mwanzo ndicho kitabu chenye maelezo sahihi kuhusu Umbaji na Asili ya vyote

Ina maana tumewahi tu ingewezekana bobamdier zikawa zinachumwa kwenye miti ?
Evolution Work
 
Btw ulizeni Nchi kama Marekani ambao walifuta hili na kuamua kuirudisha mashuleni???

kwanini waliamua kuirudisha miaka ya 60 baada ya kuifuta mashuleni kwa muda mrefu!!?

Huwezi kuelezea life, scientifically bila kuongelea evolution theory

2017 kuna evidence ya kutosha ambao huwezi kukimbia wala kujificha.....btw Nchi ngapi beside uturuki wanafanya hili!!!?

Also Wana evidence kiasi gani,inayo'support theory yao kuwa evolution is not a scientific theory and religious theory have equal stand as scientific ones!!?

Ni maswali ya kujiuliza kabla ya kuparamia vitu......
Kama mwenzetu ulikwisha jiuliza weka majibu hapa.
Otherwise ni imani tu
 
In science Imani haiitajiki ... Kinachohitajika ni kujiuliza, kufikiri, kufanya uchunguzi na kuthibitisha tuu.. Ukitaka kuupumzisha ubongo wako kufikiri just amini eg.. Kikombe cha babu kinatibu ukimwi..
Kwenye sayansi kuna kuthibitisha au kuonyesha ushahidi ?
 
Hakuna Imani kwenye Evolution,on the molecular level tuna tofauti ndogo sana na primates.4% differences between us and bonobos.

Hili halihitaji any kind of belief......the evidence is out there


Btw if you can explain this without using Evolution then you can win a nobel prize.....View attachment 530726
Kwanini tofauti ndogo itumike kama ushahidi wa evolution?na sio kuwa ndivyo ilivyofanyika

4% inakufanya ukome kufikiri ?
Evolution is still a theory to date
 
Evolution ni imani kama imani zingine
Tatizo ni ninyi mliokaririshwa hizo unazotaka kutumia kama evidence kulinda muda uliopoteza kukariri.
Kuna maswali lukuki evolutions believer hawana majibu

Wapi tutapata binadam ambaye yuko half way kuelekea ubinadam
Wapi tutaona fossils za chui ambaye hajakamilika au simba aliyenjiani kufikia usimba halisi.
Evolution ilikoma au bado inaendelea,
Kama kuna evolution ni katika jamii husika lakini sio kutoka jamii nyingine na kuwa nyingine

Mwanzo ndicho kitabu chenye maelezo sahihi kuhusu Umbaji na Asili ya vyote

Ina maana tumewahi tu ingewezekana bobamdier zikawa zinachumwa kwenye miti ?
Evolution Work
Tatizo watu hatupendi kufanya research kujua dunia inaendaje,tunapenda kukaa na yale tunayoamini toka tumezaliwa coz inafanya kuiona dunia iwe rahisi zaidi

Soma hii link,ujue evolution inaendelea right now,pia hayo maswali yako yanaweza kujibiwa ukitafuta kitabu kuhusu transitional fossils, evidence iko kibao.......hivi unafiriki ingekuwa rahisi ku'fake Evidence for 150 years while different universities around the globe wanasoma hivi vitu.....jamani hebu tutumie ubongo kidogo.

12 examples of evolution happening right now
 
Halafu, hivi hiyo resistance ya bacteria kwa antibiotics inathibitishaje kuwa nyani walibadilika wakawa binadamu?

Na hao bacteria huwa wana evolve kuwa nini? Funza? Mijusi?
 
Also tatizo kubwa hapa ni kuchanganya mythical stories and science.

There is absolutely zero evidence,kwamba umeumbwa sijui miaka 2000 iliyopita........there is plenty of scientific evidence that you evolve and shared a common ancestor with other primates.

And sadly just because some few scientists wanapinga kuwa Evolution theory is true,doesn't real change the reality since what matters is the evidence not your personal opinion.
And that's how science works.
Evidence regarding evolution theory requires a strong belief and not scientific proof
 
Hii thana ni nzuri sana lakini tuelewe kitu kimoja evolution haiwezi kutake place pakuche asubui jioni evolution itake place it take million of years kitu kichange
Hapo ndipo imani yenu kuhusu evolution ilipojikita. Wewe unatakiwa kuishi miaka mamilioni kushuhudia
 
It's a gradual change over long period of time in order to adapt new environment....inachukua muda kuona results on macroorganisms but kuna example like HIV Virus and other bacterial Mutation ambazo ni raisi kuona effect of evolution.
Hao microorganism na au hata HIV vina evolve kuwa sungura ?
 
Kwanini tofauti ndogo itumike kama ushahidi wa evolution?na sio kuwa ndivyo ilivyofanyika

4% inakufanya ukome kufikiri ?
Evolution is still a theory to date
Sorry what is a theory to you!!!?coz inaonyesha hufahamu nini maana ya theory

Tofauti ndogo Kati ya bonobo na mwanadamu,ndo inafanya bonobo awe bonobo na binadamu awe binadamu,tofauti hiyo ndo IPO Kati ya farasi na punda,au chui na tiger.........ndio moja ya vielelezo vya evolution
 
It's 2017 ndugu zangu....... Evolution is not only true but useful in various scientific achievements.

Understanding Antibiotics resistance,Stem cell research,epigenetics,treatment of cancer biotechnology and so forth.

Evolution is bedrock of life science,you can't have life science without evolution theory,unless you go around and ignore all the evidence and all the achievements that we as human species have achieve after understanding evolution.

There is a reason why People like late Pope John Paul and Pope Francis support evolution theory despite their religious belief,not because they want to look cool/intellectual but because of its overwhelming evidence.

Khan Academy
Sio kweli kuwa tunapinga nadharia kuhusu Evolution kinachopingwa ni evolution ya bacteria kuwa nyau
Evolution with species iko wazi kabisa
 
Hehehe watanzania kweli nimewachoka na udini wenu wa kipumbavu, lini mtakuja mtambue kua mnayoamini mengi ni upuuzi mtupu mlijazwa na madingi wenu waliojazwa na mababu zenu ambao na wao walijazwa na wakoloni?

Evolution is a fact sio imani, ni kitu ambacho kina proof, ambaye hajasoma ndo hawezi kuliona hili, unachukulia mambo juu juu tu, sayansi ndiyo sababu leo umekaa JF unawasiliana na dunia nzima, ila dini sijui imesaidia nini zaidi ya kuleta mauaji toka karne nyingi nyuma. Huu ujinga hautokuja pitishwa, na ukipitishwa nabadilisha uraia, can't deal with stupidity day and night.
Jifunze kutumia maneno ya kumaanisha
Evolution INA Proof au INA evidence ?
Evolution sio fact ndugu au eleza nani aliweza kuifanya kuwa fact badala ya kuwa nadharia au kwako nadharia/Dhana na facts ni kitu kimoja
 
We are studying evolution on the molecular level now, epigenetics,stem cell research

Hizi zote new discoveries zimetokana na kuelewa vyema evolution theory.......Africa bado tunang'ang'ania binadamu tuliumbwa na tunataka ifundishwe darasani pamoja na science.

You wonder why,hatu'advance scientifically......

Adam and Eve is a creation myth......... Evolution is a scientific facts,that is support by not one type of evidence by different types of evidence coming from different fields of science(Genetics, Biochemistry, Paleontology,medicine and so forth)

Unless you have a concrete evidence that can prove all the above science fields have wrong/false evidence,and creationism is true,then present it and win a nobel prize, otherwise go back and read some other books than the Bible and understand some science,please.
Tuwe serious kidogo ndugu. Hivi wakati mababu zako wana evolve mwili ulikuwa una evolve na mifumo yake yote au jicho lilikuwa lina evolve kivyake baada ya miaka kikaja kujipachika lilipo au ilikuwaje ndugu ?
 
Hao microorganism na au hata HIV vina evolve kuwa sungura ?
Sorry that's not evolution,virus kugeuka kuwa sungura..........what I'm talking here,ni speciation....species of the same family having a mutation na kupatikana kuwa species wengine wapya.

Kuhusu bacteria kubadilika kuwa complex organisms,ni field inayoendelea kusomwa na mengi tunajifunza but siwezi dismiss completely coz hata mimi naendelea kujifunza

But kusema the whole field ni issue ya imani,sorry ni ufinyu wa mawazo,coz evolution inatumika now kusoma vitu kama epigenetics,genome editing, groundbreaking Scientific discovery sisi bado tuna'judge kama evolution is true,and substution eti ni Biblical creationism.........tusiwe wavivu wa kufikiri kiasi hiki,tupende kujua duniani kuna nini linaenda

I'm out......
 
Back
Top Bottom