Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,857
Nilipoona tu unasema wanadamu walitokana na nyani nimeishia hapohapo kusoma. Wewe ni miongoni mwa wale ambao hamkuelewa mnasoma nini shuleni au mwalimu wako aliye kufundisha evolution alikua kiazi. Kwakua elimu haina mwisho unaweza kupata mwanga kidogo hata kwa kusoma wikipedia jaribu kusoma tena ukiwa na open mind. Weka hisia zako na maoni yako pembeni ukitaka kuujua ukweli na ku enjoy science, vinginevyo umevamia vitu vilivyo uzidi ubongo wako uwezo
Ulichoandika ndio mleta mada anataka kiwepo,watoti wasifundishwe evolution.
Wasome wakiwa watu wazima hili waww na uwezo wa kuoji na kudadisi zaidi kuliko kuambiwa tu binadamu alikua nyani au binadamu kaambwa kutoka kwenye udongo.