Vile vijamas ni tishio sana serikali iwe inafuatiria nyendo zao..sio vya kuamini.Alafu wengi ni Answar Sunni wale waliosumbua Kibiti, mkuranga na Rufiji.
Hatari sana;
Wanapatika sana Tandahimba na Newala mtwara
Ninacho ikubali serikali imewahandle wote hapa jirani mtwara walikuwa na msikiti wao mdogo wakiamka tu wanaweka Bender's yao ya kijani.Vile vijamas ni tishio sana serikali iwe inafuatiria nyendo zao..sio vya kuamini.
#MaendeleoHayanaChama