Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,427
- 154,270
Sijawahi kuona mtu ambaye anauza alkasusu akiwa amevaa suti, au jezi, au mavazi mengine yoyote.
Wote huvaa ki Aswar Sunnah, suruali fupi na kanzu. Wanavaa sare.
Je, kuna uhusiano gani kati ya wauza alkasusu na itikadi kali za dini?
Je, hawa wauza alkasusu wanafanya biashara au kuna majukumu mengine ya kisiri wanayatekeleza?
Hebu tutafakari
Wote huvaa ki Aswar Sunnah, suruali fupi na kanzu. Wanavaa sare.
Je, kuna uhusiano gani kati ya wauza alkasusu na itikadi kali za dini?
Je, hawa wauza alkasusu wanafanya biashara au kuna majukumu mengine ya kisiri wanayatekeleza?
Hebu tutafakari