S V Surovikin
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 13,600
- 32,685
Duh! Kama vile upo kwenye fikra zangu
Jamaa wanakomenti wako too emotional.Lakini hii ni observation ya mtoa mada, lakini kama haiko hivyo ni kumwelimisha sio kumshambulia.
Hata mimi nawaonaga wa al kasusu wako hivyo
Sijawahi kuona mtu ambaye anauza alkasusu akiwa amevaa suti, au jezi, au mavazi mengine yoyote.
Wote huvaa ki Aswar Sunnah, suruali fupi na kanzu. Wanavaa sare.
Je, kuna uhusiano gani kati ya wauza alkasusu na itikadi kali za dini?
Je, hawa wauza alkasusu wanafanya biashara au kuna majukumu mengine ya kisiri wanayatekeleza?
Hebu tutafakari
Chuki ni Nini?Kuna mahusiano,asili ya wauzaji wa hiyo kitu ni Waislamu. Lakini kuvaa hivyo haina maana hao ni Magaidi,hapo ndiyo umeingiza chuki za kidini.
Gonga Alkasusi upate afya wewe,acha rongo rongo zako hapa.
Chuki ni Nini?
Na mimi huwa najiuliza kuna uhusiano gani kati ya wamiliki mabasi ya kwenda mikoani na udini. Maana 80% ya mabasi ya mikoani hupenda kuweka nyimbo za kwaya kwenye mabasi yao bila kujali kwamba mabasi hayo wanapanda watu wa dini tofauti. Hapo sijawataja waubiri wao wanaopandaga njiani kuhubiria watu ndan ya mabasi huku wakijua kwamba ndan ya mabasi hayo kuna abiria wa dini tofauti tofauti. Mleta mada una idea yoyote kuhusu hili swali ninalojiulizaga kila siku?
Seleman jaffoNi kama wakamua juice ya miwa,, wengi ni kutoka zenji
Ni kama wauza nyama idodomya
Ni kama wauza kahawa, idodomya
Ni kama wakata majani ya ngombe hapa mjini wasukuma
Ni kama waendesha mkokoteni hapa mjini, sambaa
Ni kama wenye pesa hapa mjini chagga
Ni kama omba omba hapa mjini gogo
Ni kama wafuga kuku hapa mjini, kurya
Ni kama wamachinga hapa mjini, chinga
Ni kama wachoma/ wakaanga mdudu hapa mjini
Ni kama wakwea minazi hapa mjini, zaramo
Mwisho: Hakuna mzaramo ambae ni MBUNGE hapa mjini
Sure!Hii kitu ilianzia tanga/ pembroke baada ya huko ikaja dar. Hapa utakuwa umenielewa. Wenye vijiwe wengi vya kahawa wengi wa tanga wanakaa hivyo. Nadhani umenielewa
Endelea kuhisi hivyo hivyo ni jambo la heri! Halafu vikanzu na visuruali vifupi sio uislam! A town huku kuna machimbo ya Alkasus wanauza na kunywa watu wa mavazi tofauti! Kuna watu ni wa kongwe humu tunawaheshimu ila udini unawatoa ufaham, mleta uzi anasema eti wauza alkasus sio wavaa suti!!! JF inazidi kupoteza thamaniMimi nahisi wateja wengi wa hio alkasusi pia ni waislam, hivyo sio mbaya wakipiga vivazi vitakavyo wavutia wateja wao ambao ni ndugu zao katika imani.
Ajabu ni kumuona mvaa kanzu anauza rozali na biblia.
Alkasusi mujarab kwa hisani ya watu wa Marekani.
Ni kweli inatafakafisha. Hivi karibuni nimekuta wamachinga wanauza mazaga zaga yako branded kama Alshabaab. Nikajiuliza kwa nini mamlaka husika zinaruhusu brand kama hiyo hata kama haihusiani na kikundi cha kigaidi? Vipi mtalii anayeijua alshabaab akikutana na hiyo brand, ataamini ni brand tu au ataamini propaganda za kuwa Tanzania ndo supplier wa vijana wanajiunga huko? Nafikiri tunapaswa kuwa macho zaidi.
Ni kama wauza papunye hapa mjini ni wahayaNi kama wakamua juice ya miwa,, wengi ni kutoka zenji
Ni kama wauza nyama idodomya
Ni kama wauza kahawa, idodomya
Ni kama wakata majani ya ngombe hapa mjini wasukuma
Ni kama waendesha mkokoteni hapa mjini, sambaa
Ni kama wenye pesa hapa mjini chagga
Ni kama omba omba hapa mjini gogo
Ni kama wafuga kuku hapa mjini, kurya
Ni kama wamachinga hapa mjini, chinga
Ni kama wachoma/ wakaanga mdudu hapa mjini
Ni kama wakwea minazi hapa mjini, zaramo
Mwisho: Hakuna mzaramo ambae ni MBUNGE hapa mjini
Fact ni kwamba ,,Weka facts zako Mkuu, maneno matupu hayavunji mfupa