Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
, hawa Azam wanashangaza mno. EPL wanaonesha channel ya bure ila Mapinduzi Cup mpaka ulipie!!!!!!!!!!!!!!! Jamani.Nchi nying za kiarabu, channel za taifa huonyesha mipira ya ulaya mpaka EPL tena bure, nadhani jamaa kajiingiza serikalini ili aweze kuonyesha mechi za nje ya nchi kirahisi