Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
Hilo nalo lipo sana dearest. Akiambiwa "mi jana nimemchapa mama nanii mabao akatia akili" nae anaenda kufanya praktiko kwake. Hawachanganyi na za kwao. . .wanasomba somba tu.
Mie kauvivu tu nadhani dearest. . .Ila nipo.
Nafurahi na sisi tumewashtukia, tunawasaidia kuchanganya na za kwetu...lol....!
Ka-uvivu kasizidi tu dearest!