Kuna Ubaya Wowote?..

Hilo nalo lipo sana dearest. Akiambiwa "mi jana nimemchapa mama nanii mabao akatia akili" nae anaenda kufanya praktiko kwake. Hawachanganyi na za kwao. . .wanasomba somba tu.

Mie kauvivu tu nadhani dearest. . .Ila nipo.

Nafurahi na sisi tumewashtukia, tunawasaidia kuchanganya na za kwetu...lol....!

Ka-uvivu kasizidi tu dearest!
 
Hapa mbona nina wasi wasi kuwa mtu atakuwa anapendwa kwa 'kuwa kichwa cha nyumba' tu basi...and the subsequent responsibilities ya kuwa 'kichwa cha nyumba si tunazijua wajameni?

Mi sitaki namna hiyo asilani:shock:

"subsequent responsibilities"....pheeewww..haya bana, thx kwa ukumbusho....
naendelea kuwa msomaji wa mdahalo huu....

asante sana....cku hizi wanawake wengi ndio vichwa vya nyumba, sasa kama nasomesha, nalisha, etc uyo mvaa suruali nae ataitwa kichwa cha nyumba just b'coz ni mwanaume?.....au na define vibaya hiyo "kichwa cha nyumba?...mie kwangu kichwa cha nyumba ni mwanaume anaejua wajibu wake, kuanzia kwa mke/watoto wake etc....

...lol....ati wa'wake ndio vichwa,....u beijing umewazidi nanyi, komaeni sasa.
mnapapurana kidogo mara unamsikia mwanamke, " kwenda mwanakwenda, sishindwi lea mwanangu mie!"

Wapo wanaosema kuwa kiongozi wa nyumba ni kazi. Kwa hiyo, ukiangalia swali ulilouliza kwa angle hii, utagundua kuwa family leadership haiwi determined na mila, desturi, faith au values. Rather, familia itaongozwa na mtu ambaye anajua kuongoza. Kichwa cha nyumba should be the person best suited for the job.

Kwa hiyo, kichwa cha nyumba anaweza asiwe yule mwenye kipato cha juu au yule anayebeba maboksi mazito. Bali kichwa cha nyumba ni yule aliye na uwezo wa ku-organise resources za nyumba, kutatua migogoro ndani ya familia na keeping his/her head in a crisis.

Kitu cha muhimu hapa ni kutofautisha kati ya kiongozi kwenye sehemu ya kazi, na kiongozi wa familia. Tofauti na kiongozi wa sehemu ya kazi, kiongozi wa familia hana option kufukuzafukuza ovyo a bad associate and hiring a better one. Lol.

....baada ya like nilokugongea, tafadhali pokea makofi (clap! clap!) na standing ovation yangu bana...

Safi sana bwana Bishanga! You hit it right on the head.

People should know that before they point out any flaws in others, they should take a hard look at themselves first and be satisfied that they don't have the same flaws that they see in others.

Kuna visichana kibao tu vinavyojifanya 'vianamke' halafu viko kimbelembele kunyooshea vidole wengine. Ooh eti f'lani sio 'real man'....girl please...are you a real woman?

...hehe..e bana weee...umeshusha nondo ya maana hapo..." are they real?"...au nao ni usanii tu?

raha ya mwanaumme ni kuwa mpiganaji bwana
familia ikikuangalia wafeel kweli kuna kidume ndani

...hiyo ndio definition yako ya mume,...i bet tafsiri ya Mwj1, Lizzy, et al ni tofauti
kidogo na wewe....

Na raha ya mwanamke ni utulivu, heshima, na taadhima.

Watu wakimuangalia mkeo au mwanamke wako wanasema 'daah, mchizi pale kweli kapata'. Sio mwanamke uwe mapepe...hujui unachotaka...hujatulia...hodari wa kuona dosari za wenzio ilhali zako huzioni...

....dahh, Mnyam hatari karibu sana MMU,....unabondelea misumari ya utosi...
najiskia raha kukusoma, keep it up man...
 
na

ngumu kujua yupi real yupi foto, watu wana pretend balaa,hayo yalikuwaga enzi hizo bwna cku hizi mambo mseto, wa2 wanafukuzia wapi kinaeleweka wateremke napo, ule uanaume unapungua kila kukicha,( wamejaa wapenda kuhongwa) atakuganda ukidhani mapenzi/mahaba kumbe kuna anachokitaka...muwe na mipaka, tunachoka na hizi kec za wahudumiaji kuja kujiliza liza wametendwa kumbe ni wao wenyewe hawakusoma alama za nyakati....pweeh, huo mnaousema kichwa cha nyumba tunaufanya sana but kwa macho makavu/makali, sasa nendeni kichwa kichwa na hiyo "real man" yenu kesho 2wasome vingine....btw MJ1 kimeshaeleweka? angalia mama ucje angukia pua!

asante sana....cku hizi wanawake wengi ndio vichwa vya nyumba, sasa kama nasomesha, nalisha, etc uyo mvaa suruali nae ataitwa kichwa cha nyumba just b'coz ni mwanaume?.....au na define vibaya hiyo "kichwa cha nyumba?...mie kwangu kichwa cha nyumba ni mwanaume anaejua wajibu wake, kuanzia kwa mke/watoto wake etc....

Nyamayao aksante kwa kuchangia. Ni kweli usemayo lakini maandiko yako ni kama vile umekata tamaa kuwa hakuna ever, hakuna anayeweza kuaminika katika hili. Hivi ni kweli kuwa hakuna kabisa au haiwezekani kabisa kwa mwanamke kumpata mwlanaume anayestahili kuitwa au kufanywa kichwa cha nyumba no matter the definition?
Hivi ni kweli kwua mapenzi yote yanastahili kulala jicho moja wazi? au kuingia mguu mmoja nje? kweli hakuna wanaostahili kuaminiwa na kuaminika?

If this is the kind of love life we are living katika dunia hii mtanifanya nikate tamaa ya maisha ya mahusiano na kuwaona wote mlioko kwenye mahusiano wasanii wa kaole! Plz
 
na

ngumu kujua yupi real yupi foto, watu wana pretend balaa,hayo yalikuwaga enzi hizo bwna cku hizi mambo mseto, wa2 wanafukuzia wapi kinaeleweka wateremke napo, ule uanaume unapungua kila kukicha,( wamejaa wapenda kuhongwa) atakuganda ukidhani mapenzi/mahaba kumbe kuna anachokitaka...muwe na mipaka, tunachoka na hizi kec za wahudumiaji kuja kujiliza liza wametendwa kumbe ni wao wenyewe hawakusoma alama za nyakati....pweeh, huo mnaousema kichwa cha nyumba tunaufanya sana but kwa macho makavu/makali, sasa nendeni kichwa kichwa na hiyo "real man" yenu kesho 2wasome vingine....btw MJ1 kimeshaeleweka? angalia mama ucje angukia pua!

Hahaha Dada hata usiwe na shaka, niko katika mikono salama mamito!


FL1 kusoma hujui hata kuangalia picha?obviously mmewe alikuwa hajarudi na bar zishafungwa!

Kwa nini usiwaze kuwa nlikuwa nimetoka kuliwazwa kiasi cha kuanza kufikiria kumvisha crown??!
 
na

ngumu kujua yupi real yupi foto, watu wana pretend balaa,hayo yalikuwaga enzi hizo bwna cku hizi mambo mseto, wa2 wanafukuzia wapi kinaeleweka wateremke napo, ule uanaume unapungua kila kukicha,( wamejaa wapenda kuhongwa) atakuganda ukidhani mapenzi/mahaba kumbe kuna anachokitaka...muwe na mipaka, tunachoka na hizi kec za wahudumiaji kuja kujiliza liza wametendwa kumbe ni wao wenyewe hawakusoma alama za nyakati....pweeh, huo mnaousema kichwa cha nyumba tunaufanya sana but kwa macho makavu/makali, sasa nendeni kichwa kichwa na hiyo "real man" yenu kesho 2wasome vingine....btw MJ1 kimeshaeleweka? angalia mama ucje angukia pua!

asante sana....cku hizi wanawake wengi ndio vichwa vya nyumba, sasa kama nasomesha, nalisha, etc uyo mvaa suruali nae ataitwa kichwa cha nyumba just b'coz ni mwanaume?.....au na define vibaya hiyo "kichwa cha nyumba?...mie kwangu kichwa cha nyumba ni mwanaume anaejua wajibu wake, kuanzia kwa mke/watoto wake etc....

nyamayao hiyo definition yako ya kichwa cha nyumba NDIO niliyoimaanisha mimi.........kuwa kama unampata mtu anayejua wajibu wake kama mume, mpenzi na baba kwa nini usimpe heshma yake na kumruhusu awe mfalme wa maisha yako? why wacwac usokuwa na maana? kujitilisha presha bure!

Hayo ya ATM, sijui cheque book yameletwa na post ya Babu DC tu kama caution but maana halisi ya mada hii ilikuwa ni hapo.
 
halafu sasa cha ajabu nachokiona
Hata mwananamke awe na pesa na akili kiasi gani
Akipata mwanamme according to her definition of a man
Automatically mwanamme anachukua nafasi yake na mwanamke anachukua nafasi

Wala hamjadili nani awe nafasi gani
Vitu ninafall into places accordingly.

So funny!

Aksabte Kongosho.........lol jamani tusisahau....Mkate mwake chai wapendwa!
 
mbona ni uzuri mtupu! hakuna ubaya wanaume tulio wengi tukipewa heshima zetu na sisi tunaoza kabisa juu yenu! na hata wakina macho kodo hapa ndo husema tumelishwa limbwata kumbe mtoto anjua kusogeza kete,mtoto mashalah! utadhani kazaliwa Tanga
 
Kuna ubaya, hasa ukiwa legelege atakupanda kichwani.
Hahahah aksante Da mdogo, supposed huko legelege na ulonae si wa kukupanda kichwani? Au hakuna mpenzi wa kweli?

Kuna mtu alishawahiandika haya, nanukuu
..."Life is about trusting your feelings and taking chances, loosing and finding happiness, appreciating the memories and learning from the past mistakes..." mwisho wa kunukuu.

Sasa kama tutaishi maisha haya ya mahusiano kwa mashaka na tahadhari kubwa hivi....... tutatrust vipi feelings zetu, tutatakije chances, tutaexperience vipi having and loosing happiness, je ni wapi tutapata good memories za kucherish kama kila siku twaishi na what ifs kibao kichwani? na je tusipojiachia ili life itake mkondo wake past mistakes tutazipataje ili kulearn from them?? maana kuwa too careful kunawezakuzuia usimake mistakes ati. hahahahha

Hapa nakiri kuchanganyikiwa mie ah..... bora lakini...................
 
nyamayao hiyo definition yako ya kichwa cha nyumba NDIO niliyoimaanisha mimi.........kuwa kama unampata mtu anayejua wajibu wake kama mume, mpenzi na baba kwa nini usimpe heshma yake na kumruhusu awe mfalme wa maisha yako? why wacwac usokuwa na maana? kujitilisha presha bure!

My dia kama Mungu amekupa mume wa hivyo jiachie bibi tena ujibwage, ya nini kupata presha na maisha yenyewe mafupi haya!

Ila lazima uhakikishe ni mume na ni mwanaume na uridhike kuwa yuko komitedi.
 
mbona ni uzuri mtupu! hakuna ubaya wanaume tulio wengi tukipewa heshima zetu na sisi tunaoza kabisa juu yenu! na hata wakina macho kodo hapa ndo husema tumelishwa limbwata kumbe mtoto anjua kusogeza kete,mtoto mashalah! utadhani kazaliwa Tanga

Hahah kajoli twambie bwana. raha ya penzi upendwe, uenziwe, utimiziwe pepo ya dunia au sio!? Mashallah!

Haha siku hizi bana hata sie wapalestina tunajua na tunayo mapenzi bana.....dunia kijiji ati!
 
My dia kama Mungu amekupa mume wa hivyo jiachie bibi tena ujibwage, ya nini kupata presha na maisha yenyewe mafupi haya!

Ila lazima uhakikishe ni mume na ni mwanaume na uridhike kuwa yuko komitedi.
Kbd Dada yangu, uko sahihi kabisa mamii!
 
Kbd Dada yangu, uko sahihi kabisa mamii!

Wajua haina maana ya kuishi na mtu kimachale machale au sijui mguu nje na mwingine ndani. Ya nini kuishi na mtu usiyemuamini??? Mi sitaki kulala jicho moja wazi au kuwa na maisha ya siri siri.

Nitakapo amua kusema 'I do' basi nitakua nimeshajiridhisha kua ni mwanaume na ni dereva na yuko responsible. Kitakacho baki kwangu ni kumuombea kwa Mungu na kujisubmit kwake kama kichwa cha nyumba.
 
Hahahah aksante Da mdogo, supposed huko legelege na ulonae si wa kukupanda kichwani? Au hakuna mpenzi wa kweli?

Kuna mtu alishawahiandika haya, nanukuu
..."Life is about trusting your feelings and taking chances, loosing and finding happiness, appreciating the memories and learning from the past mistakes..." mwisho wa kunukuu.

Sasa kama tutaishi maisha haya ya mahusiano kwa mashaka na tahadhari kubwa hivi....... tutatrust vipi feelings zetu, tutatakije chances, tutaexperience vipi having and loosing happiness, je ni wapi tutapata good memories za kucherish kama kila siku twaishi na what ifs kibao kichwani? na je tusipojiachia ili life itake mkondo wake past mistakes tutazipataje ili kulearn from them?? maana kuwa too careful kunawezakuzuia usimake mistakes ati. hahahahha

Hapa nakiri kuchanganyikiwa mie ah..... bora lakini...................

da mkubwa, katika mahusiano tahadhari muhimu tena tahadhari kubwa. Tatizo hatuwezi kupredict behaviour ya mtu. Yaweza badilika muda wowote.
Tahadhari ya kuchukua ninayomaanisha hapa si kuzuia moyo kupenda, si kupenda kwa uoga bali ni kuuset moyo kuwa katika safari yenu ya mahusiano chochote (kizuri/kibaya) chaweza kutokea. Hii itasaidia endapo itatokea baya mapokeo yake yatakuwa ni tofauti na ambavyo ungelipokea wakati hukutarajia tangu awali.
 
da mkubwa, katika mahusiano tahadhari muhimu tena tahadhari kubwa. Tatizo hatuwezi kupredict behaviour ya mtu. Yaweza badilika muda wowote.
Tahadhari ya kuchukua ninayomaanisha hapa si kuzuia moyo kupenda, si kupenda kwa uoga bali ni kuuset moyo kuwa katika safari yenu ya mahusiano chochote (kizuri/kibaya) chaweza kutokea. Hii itasaidia endapo itatokea baya mapokeo yake yatakuwa ni tofauti na ambavyo ungelipokea wakati hukutarajia tangu awali.

Hapa nakubaliana na wewe Da mdogo kwa asilimia 110. tuko pamoja hapa. Yaani nafurahia maisha katika mwanga bora mpaka pale Tanesco watakapochukua umeme wao kitu ambacho ninaelewa kuwa chaweza kutokea. Lakini sio eti umeme upo basi Mj1 mie nisijivinjari kwenye kioo kuyafurahia makalio yangu ya embu kisa, Tanesco wanawezauchukua umeme wao! ah vunja mifupa bwana ila jua wawezashindwa kuivunja ukishang'oa meno but kuna kima ati................
 
Wajua haina maana ya kuishi na mtu kimachale machale au sijui mguu nje na mwingine ndani. Ya nini kuishi na mtu usiyemuamini??? Mi sitaki kulala jicho moja wazi au kuwa na maisha ya siri siri.

Nitakapo amua kusema 'I do' basi nitakua nimeshajiridhisha kua ni mwanaume na ni dereva na yuko responsible. Kitakacho baki kwangu ni kumuombea kwa Mungu na kujisubmit kwake kama kichwa cha nyumba.

Da Mkubwa.................I salute you.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom