Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
FL1 kusoma hujui hata kuangalia picha?obviously mmewe alikuwa hajarudi na bar zishafungwa!MJ1 hii post umendika saa 00:14 du hivi ndo ulikuwa unazidi kuchanganyikiwa ?
Ni jambo jema na la hekima kumpa mwanaume heshima yake kama kichwa cha familia..na heshima iwepo kati ya wote wawili