Mapinduzi yalifanywa na waZanzibari wenyewe. Hivi sasa Zanzibar bado mwarabu ananguvu zaidi kuliko mtu mweusi kwa sababu mbalimbali. Uchumi wa Zanzibar umeharibika kama ulivyoharibika wa Tanzania kwa sababu zinazofanana zaidi na za Zambia kuliko bara, i.e. utegemezi wa zao moja la Karafuu. Huu ulibomoa vipato vya raia na serikali mara pale bei yake ilipoporomoka. Sio kweli kuwa hakuna anayetaka Muungano, ila megafone za wanaoupinga zimekuwa tu kubwa. Lau kama wanaoupinga wangekuwa ni wengi zaidi, serikali ya SMZ isingeweza kuendesha mambo yake.
Si kweli Prof. Wangwe aliwahi kusema kukosekana kwa mwamko wa serikali ya muungano kulitia uzito zao la karafuu ni moja ya sababu iliyochangia kuua zao la karafuu. Serikali ya muungano ilitoa mtazamo zao (subsidies) kwenye kahawa, ndizi na katani ikaliona zao la karafuu halina faida.
Likewise since 1800 zanzibar ilikuwa bandari huru hili lilibadilika baada ya mapinduzi kwa kuhofia SMZ isije kupinduliwa ikawa SMZ inategemea biashara tu badala sector zengine za kiuchumi sasa hebu tufafanulie wewe nchi itasimama kweli!!!!