IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,184
- 7,819
Mbona sasa hawawaoi albino, ambao wanakaribia wazungu kwa weupe?Wasukuma na kanda nzima ya ziwa wanawake weupe ni dili.
Mkewe yupo nae miaka mingi, wanajuana na kuvumiliana na kusameheana.
Mbona sasa hawawaoi albino, ambao wanakaribia wazungu kwa weupe?Wasukuma na kanda nzima ya ziwa wanawake weupe ni dili.
Mkewe yupo nae miaka mingi, wanajuana na kuvumiliana na kusameheana.
We mtendee vizuri mkeo akupe kiboga
Kumbuka watu waliosoma masomo ya sayansi tafsda kwao zero.
Alafu acha unafki kazi ya wanawake
Baada ya kuona neno "kweri kweri" nimegundua upeo wako ni level ipi hivyo ushauri wa bure ni kajiendeleze na elimu uelimike.
Ila kabla ya kukuacha nikuambie kuwa kufuatiliwa sana sio kuwa in kupendwa au kuku admire maana jee utasema hivyo hata kwa Dr Shika? matendo ya ajabuajabu yaweza kukufanya ufatiliwe sana
Kuna jambo la muhimu walikua wanasemezanaHivi Kitwanga anaakili gani kumuacha mkewe na kwenda kupiga soga na wanawake wengine, sisi waafrika mapenzi ni pale unapokuwa na ashiki tu.
USSR
halafu si ajabu alikuwa anaona wivu kuona mwenzie yuko na mwanamke mweupeJe na mume wa huyo mama anajisikiaje Khantwe? Ataelewa kama ni utani? Hawezi kuhisi labda kuna jambo nambari moja analijua kati ya Kitwanga na huyo mama cheupe hasa ukizingatia ugonjwa wa wasukuma kwa wanawake wa hiyo rangi
Mkuu kauli yako ni ya udhalilishaji dhidi ya hao albino.Mbona sasa hawawaoi albino, ambao wanakaribia wazungu kwa weupe?
Mkiwa Wajinga msifikiri watu wote ni wajinga...so kwa kuwa Kanda ya Ziwa matusi na Ngono kwenu ni fahari basi iwe hivyo kwa TAIFA zima?hahahahaha BAWACHA BHANA YANI WEWE UNAFIKIRI KIBOGA INA MAANA KAMA YAKO UNAYO ISEMA? KIBOGA INA MAANA NYINGI SANA WENGINE HUKO KANDA YA ZIWA NI TUNDA TAMU.....
BAWACHA ACHA KUJIPA PRESSURE
Nimekuwa nikimsikiliza ndugu yetu kwa Miaka yake minne ambayo amekuwa akiliongoza taifa..
Katika hotuba zake zote hulazimisha kuchomekea Utani Lakini utani huo Mara zote unakuwa centred kwenye Mapenzi, Ngono na Kujamiiana...KWA NINI ANAKUWA VILE?
Maneno mengine ni machafu sana na huyatamka mbele ya Mkewe, Mawaziri wa Kike na hata watoto wa shule ambao katu Katika mikutano yake hawakosekani...Mfano alipokuwa Kahama aliposema usipomtendea vema Mkeo hatakupa KIBOGA...hii Lugha ni chafu na haifai, Why akili yake Inakuwa hivi, kuna Tatizo la KISAIKOLOJIA kwenye Kichwa chake?
Nashauri Washauri wake waifanyie kazi hii kasoro, IT IS TOO MUCH NOW AND IT IS DISGUSTING
Spell mistake na typing error ni vitu viwili tofauti. Walijua hilo?In kupendwa > ni kupendwa
Jee > Je
Ajabuajabu > ajabu ajabu
Ufatiliwe > ufuatiliwe
Unapokosoa wenzako hakikisha kwanza wewe unao huo unaouita ‘upeo’ sio unabwabwaja tu, kukosea ni sehemu ya maisha yetu ila tukosoane kwa heshima lengo ikiwa ni kuelekezana..... nawe nakushauri ukajiendeleze kielimu.
Usile Mbegu.
Mzee Mzindakaya Je pale Sumbawanga?"Kitwanga umemuacha mke wako, umeenda kwa mwanamke mweupe," alisikika mzee baba akimwambia aliyewahi kuwa waziri kwa kukaa pembeni ya mama mmoja mwenye rangi ang'avu. Kwa jamii iliyostaarabika utani wa namna hii unavuka mipaka. Kitwanga alidhalilishwa na yule mama alivunjiwa heshima.
Aghalabu utani wa mzee baba unavuka mipaka hasa akihusisha wanawake.Hii tabia inabidi ikome.
Aidha kuhoji kwa mzee baba hasa akiwa anahoji watendaji mbele ya wananchi ni kwaajili ya kudhalilisha na si kueleweshana. Mtakumbuka wakati anamuhoji mkandarasi kule Dodoma; Mkurugenzi wa Nachingwea; Afisa Polisi kule Butimba nakadhalika. Wote hao ni watu wazima wenye familia zao na mamlaka katika maeneno yao ya kazi, kwa kuwadhalilisha mbele ya kadamnasi anawavunja molari na kuwatisha watendaji wengine. Tabia hii inabidi ikemewe kwa nguvu zote. Nani atamfunga paka kengele?
Spell mistake na typing error ni vitu viwili tofauti. Walijua hilo?