Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 8,464
- 6,510
Endelea kuwashawishi wazazi wako huenda wakakuelewa, Mungu akusaidie katika changamoto unayopitia.
Teh asa kwani uongo jamani?Vale acha kumpa jamaa zigo la misumari!
Handicap mkuu ushasahauDaah unaanza mechi mwenzako ana goli moja tayari. Pambana ushinde mechi wazee wa kubet hii inaitwaje kitaalamu
Yakimkuta yakumkuta pia umshauri hivohivo.Jambo
Kuoa mwanamke mwenye mtoto si vibaya as long as mnapendana na mmekubaliana nyinyi kama nyinyi wawili kwanza. Wazazi hawana mamraka ya kukupangia nani uoe au usioe (jambo la kizamani), we endelea na utaratibu wa utambulisho na kulipa mahali, wazee watajirudi wenyewe baadae
So sweetSiku ninawajulisha ndugu zangu kuwa namwoa dada x ambaye amezaa, mamangu aliapa viapo vyote na kulia kikamilifu. Walioniunga mkono ni wadogo zangu wawili wa kiume tu.
Ila leo katika familia nzima, msaada wa haraka na wa dhati ambao mama huutegemea ll the time huwa ni huyu mke wangu. Sijui huwa anajisikiaje wakati alimkataa.
Ninamshukuru Mungu kwa kunipa huyu mwanamke. Ninampenda na ananipenda.
Ukute mpaka sasa mna miaka chini ya 10Siku ninawajulisha ndugu zangu kuwa namwoa dada x ambaye amezaa, mamangu aliapa viapo vyote na kulia kikamilifu. Walioniunga mkono ni wadogo zangu wawili wa kiume tu.
Ila leo katika familia nzima, msaada wa haraka na wa dhati ambao mama huutegemea ll the time huwa ni huyu mke wangu. Sijui huwa anajisikiaje wakati alimkataa.
Ninamshukuru Mungu kwa kunipa huyu mwanamke. Ninampenda na ananipenda.
Na utajisikiaje ndoa yake ikajawa na upendo wa hali ya juu, baraka na mafanikio kama ndoa ya mkuu Lihakanga?Yakimkuta yakumkuta pia umshauri hivohivo.
This make sense aise, asome hapa alafu atajua kama anazika au anasafirishaWengi hufikiri kuoa mwanamke mwenye mtoto ni rahisi kivile sio kabisa.
1. Watoto baada ya 18 yrs bado kama baba utawajibika kuwaendeleza maana ni wa kufikia tena waweza kuwa babu wakufikia ukicheza.
2. Kuwalea hasa kunidhamu yaweza kuwa tabu kwani watoto wa namna hii huamini kila kitu wanaonewa hata kama unawapa malezi bora.
3. Mgawanyo wa mali ni lazima uwape sawa na wanao wa kuzaa. Pambana kuwekeza ujanani.
4. Watoto huwa na dharau wao kwa wao na ndugu wengine ndani ya familia na kuonekana wanabaguliwa au wanajibagua kwa hiyo jenga utaratibu wa kufamilia mapema.
5. Kuna muda mtajikuta wewe na baba wa huyo mtoto mnalea familia ya wife wako na pia kuingiliana mapenzi hasa watoto wakiitaji kumuona baba yao. Usipokuwa makini unagongewa live.
Ni baadhi ya sababu tu.
Sikushauri.Tafuta mwanamke ambaye hajazaa muanze maisha pamoja.
Kama umempa mimba oa wala usiulize, utamwachaje singi maza na watoto wawili!!! Utakuwa umemwongezea mlima wa kupanda bora asingekuwa na mimba yako.Hakuna madhara yoyote, ni ushamba na ujinga tu wa baadhi ya watu kufikiri mwanamke mwenye mtoto hapaswi kuolewa.
Samahani mkuu...
Kati ya kuolewa Kisha kuzalishwa na kuachana, ama kuzalishwa kabla ya kuolewa na kisha kuachwa...
Je ni usingo upi unao uzungumzia..??
Nawe hamia burundi, yani mwanamke anabeba mimba kabla hata kwenu hujamtambulisha.....hapo kuna shidaHallo ndugu zangu
Kuna jambo ambalo linanitatiza kidogo naomba ushauri kutoka kwenu
Au ni sikie ushauri Wa wazazi na mimi ni achana naye?
Ashindwe kua na love kwa aliyemzalisha aje kua na love kwako?Na utajisikiaje ndoa yake ikajawa na upendo wa hali ya juu, baraka na mafanikio kama ndoa ya mkuu Lihakanga?
Love is all about intensive feelings of caring over your partner mengine yanafuatia nyuma kijana.